Kuna kijana nilimuiliza yaani umesoma miaka 15 ili uje kuwa mwendesha Babaji??
Mwingine anachoma mahindi anajisifu "alivyojigeuza" badala ya kutafuta ajira akaamua kuwa Mchoma mahindi.
Na ni watanzania akili na matendo yetu ndiyo yanayotufikisha Kila mara kwenye ile falsafa ya "heri nusu mkate...
Kuhusu Msaaada Wa USAID Wa Chakula Lishe.
📌Ni kweli kuna ukosefu mkubwa wa chakula lishe chenye virutubisho kwa wanafunzi wengi maana vyakula vingi wanavyokula ni kuzuia njaa tu na sio kuleta afya ya mwili na akili hivyo udumavu unaongezeka.
📌USAID kwa mahaba makubwa kama ambavyo wanawajengea...
Ukisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.
Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.