Hayo ni mawazo yako tu, ume-conclude kulingana na mipaka ya akili yako, hapo lazima Magu atakuwa amegusa na kuziba maslahi yako. Magu is the best na aendelee kubana tu hivyo hivyo, jiwe la gizani hilo
Ubalozi ni kazi, na ni haki ya kila Mtanzania mwenye sifa za kuwakilisha, itikadi hazifai mtaweka itikadi mpaka kwa familia zenu. Kapata mwacheni ale shavu
Huyo katangulizwa na Mr Presdent tu ili aone msimamo wa wa tz, lazima achomoke tu labda sio wanaharakati. Kila kiti wazi hapo, kama hakuna ualakini kwa nini hiyo hela isingekwenda kwenye shule za kata ambazo zina mapungufu kibao? Aache kutupandisha hasira ---- huyo
Protokali imezingatiw hapo jamani. EL ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama na hapo ndio mahala pake. Na hata hivyo huyo ndiye rais wa 2015 iwe isiwe. Hapo hakuna kampeni huyo tayari anasubiriwa kuapishwa tu
Mwana JF ni kama walivyosema wadau, hiyo ni hali ya kawaida sana kwa watoto wachanga. Baada ya muda ataacha kulia ila itachukua si chini ya wiki tatu. Muombe Mungu pia kwani na wanadamu pepo hupitia humohumo. Hupenda sana kuchezea watoto
Mi naona kulala ni kitendo cha kuuweka mwili sehemu bapa na kusinzia ni kitendo cha kupoteza fahamu kwa muda bila kupata mshtuko. Na inategemea kipi kinaweza kuanza, mfano mwingine anaweza kusinzia kwenye kochi akaenda kulala kitandani na akasinzia. Mwingine anaweza kulala kwanza na akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.