Hivyo viwanja lini alipewa Nyerere? Kama ni Kabla ya 1999 Ina mañana ni zaidi ya miaka 15. Kila mmiliki anatakiwa kuendeleza kiwanja hicho katka muda wa miaka 3. La sivyo kiwanja kinarudi kwenye milki ya serikali na mtu yeyote a naweza kumilikishwa. Sasa viwanjwa hivyo vyote kwa nini...
NYerere hamuwa best man Bali alikuwa "baba " es bibi harusi Flora. Harusi ilifungwa kwenye Kanksa moja London. Wakati huo Kambona alikuwa waziri es elimu.
Alimpa Flora scholarship ili harusi ifanyike Ulaya, na Nyerere alisafiri kwenda huko kumwakisha baba mzazi wa Flora. Mdogo wake Flora...
Mtindi Mzuri huna haja kuchemsha Maziwa. Ni kuyaozesha Maziwa . Na wadudu wanao ozesha Maziwa, huua bacteria wote, pamoja na wa kifua kikuu. Waafrika wengi walikuwa hawanywi Maziwa mabichi happy kale, na hawakuwa wanapata kifua kikuu.
Macinkus
TAHADHARI: ASALI INAYO PATIKANA TABORA NA SEHEMU ZINGINE WANAZOLIMA TUMBAKU NI HATARI KWA AFYA. NYUKI HUOKOTEZA NECTA KUTOKA MAUA MBALIMBALI PAMJA NA TUMBAKU. KWA HIYO ASALI IPATIKANAYO INA NICOTINE KIBAO. NDIO MAANA WANJANJA WA MANGHARIBU SIKU HIZ HAWAICHANGAMKII ASALI KUTOKA TABORA. WANANUNUA...
TAHADHARI: ASALI INAYO PATIKANA TABORA NA SEHEMU ZINGINE WANAZOLIMA TUMBAKU NI HATARI KWA AFYA. NYUKI HUOKOTEZA NECTA KUTOKA MAUA MBALIMBALI PAMJA NA TUMBAKU. KWA HIYO ASALI IPATIKANAYO INA NICOTINE KIBAO. NDIO MAANA WANJANJA WA MANGHARIBU SIKU HIZ HAWAICHANGAMKII ASALI KUTOKA TABORA. WANANUNUA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.