Rejea kichwa cha habari hapo juu maneno hayo ayasema mhe zitto kabwe pamoja na kutambua uzalendo wa mhe wassira na uwezo wa wassira mwisho ameuzunika sana na hatimaye kutondosha machozi baada ya uzushi uliojitokeza bungeni baada kutajwa mama yake mzazi zitto marehemu.
Maneno hayo yalitolewa leo bungeni, mikoani na hasa mitaani baada ya kauli alioitoa leo bungeni ameonyesha uwezo wake wakufanya maamuzi na kuisimamia tanzania na watanzania. Wassira azidi kujichukulia nafasi kwenye mioyo ya watanzania.
Nawakumbusha tena tujiandae kisaikolojia kuwa mhe wasira...
Mhe wasira leo wakati akichangia katika sakata la escrow alisema alio husika watoswe. Bunge limeonyesha imani na mhe.wasira na mhe.mwigulu sana juu ya ujasiri alionao na uzalendo.
Sema unamuhitaji lowasa kwani baba yako?.... 2008 katu richimondi na bado anakejeli serikali kuwa yeye kafanya na sio serikali hapo ndipo tunapomkataa ni mmbinafsi sana. Unapoteza muda wako kumuongelea lowassa rais lazima atoke ccm na wajumbe tutaamua. Aendeleee kununua mamlaka tusubirie kuuzwa.
Lowassa jua tuko dodoma na tunajua unacho kifanya acha ujinga jua huwezi kuwa rais na katubu zambi zako maana umekula hela ya wavuja jasho watanzania. Laana iko juu yako na wanao kufuata nao wame laaniwa.
Kwanza aliyeandika Hii ni moja ya administration wa jamii forum anayetumika na bwana Lowassa .... HUYO WASSIRA ni msafi sana hata mungu anamjua juu ya utumishiwake Kwa taifa hili uliotukuka. Angekuwa mchafu AU amefanya hivyo angekuwa amesha ondoka kawa tulipo wahokuwaona HAPO nyuma. Acheni...
Kambi imara ya wassira na watu wake wanamikakati ....
Huyo kijana wake zenda nasikitika kuwa hamumfahamu na very soon tutawafahamisha vizuri...maana kilicho andikwa hakuna hata kimoja cha ukweli ni uwongo mtupu kuna vijana wa lowassa juzi alikutana nao pale mlimani city akiwemo na mtoto wa...
Ni mdahalo wa ubungo plaza ulioudhuriwa na Vijana wengi sana na pia ulikuwa live itv. Baada ya mada kubwa ni nani anayekwamisha mchakato wa katiba MPYA na kupelekea watanzania kutosa KATIBA MPYA . Vyama vyote vitatu vilishiriki CCM,CUF na CHADEMA . Mhe Wasira aliwazidi wenzake HOJA na uwezo...
Ni mdahalo wa ubungo plaza ulioudhuriwa na Vijana wengi sana na pia ulikuwa live itv. Baada ya mada kubwa ni nani anayekwamisha mchakato wa katiba MPYA na kupelekea watanzania kutosa KATIBA MPYA . Vyama vyote vitatu vilishiriki CCM,CUF na CHADEMA . Mhe Wasira aliwazidi wenzake HOJA na uwezo...
Tunamfahamu wasira hasa huku lindi,mtwara,ruvuma,mbeya anauwezo mkumbwa tangu alipokuwa waziri wa kilimo mazao hayakulala mwaka alifanya vizuri...anastahiliku pewa nchi atuongoze
Mhe WASSIRA afananishwa na machine ya mjerumani hasa kwenye siasa za nchini TANZANIA Kwa maana ya uwezo wake katika siasa, ukongwe wake katika siasa,Mtandao wake kwenye siasa na hasa kikubwa namna anavyowea kumuunga upepo huo kuelekea 2015. WASSIRA ambaye amekuwa tishio kubwa na mwenye kuwekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.