Bila AMANI haki itatoka wapi!?
Leo hii Libya, somalia na kwingineko kutaja kwa ufupi hawana amani, tujiulize je kuna haki kwao!?
Usidanfanyike, bila AMANI, bunge, mahakama na serikali vyote haviwezi kutekeleza majukumu yao na uonevu wa wenye nguvu utatawala.
USHINDI MWINGINE WA TANZANIA KWENYE VITA YA UCHUMI
Na Bwanku M Bwanku
Jana Oktoba 13, 2020 Tanzania na dunia kwa ujumla ilishuhudia tukio kubwa la kihistoria na la ushindi kwa nchi ya Tanzania kwenye vita nzito ya kiuchumi. Kwenye tukio hilo, Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli...
*RAIS MAGUFULI KUPOKEA GAWIO KUTOKA BARRICK GOLD*
*Siku ya Jumanne Oktoba 13, 2020 Rais John Pombe Magufuli atawaongoza Watanzania kupokea Gawio la zaidi ya Bilioni 100 kutoka kwa Kampuni ya Barrick Gold ikiwa ni sehemu ya fidia ya malimbikizo ya kodi na mafanikio ya kupitia upya Mikataba ya...
Hakika jpm amefanya mengi sana ya kujivunia hapa Tanzania na hata kama akiondoka leo ameacha alama kubwa na kipekee katika taifa hili.
Hii ubungo interchange inasaidia kuondoa changamoto ya msongamano wa magari, hii inawezesha mtu kuwahi popote anapotaka na inachochea chahchu ya biashara katika...
UFUNGUZI WA BARABARA YA JUU YA UBUNGO INTERCHANGE KUTOKA MWENGE HADI BUGURUNI NI USHINDI MWINGINE KWENYE VITA HII YA KIUCHUMI.
Na Bwanku M Bwanku
Jumatano ya Septemba 30 mwaka huu, Serikali ilifungua barabara ya Juu ya Ubungo Interchange kipande kinachotoka Mwenge hadi Buguruni kwenye makutano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.