tatizo vyombo vingi vya habari hapa nchini, watangazaji wao hawanafikra zao wenyewe mara nyingi wanafuata maoni ya watu. Najitahidi kufuatilia habari za nje na ndani, kwenye mijadala inayohusu tasinia ya habari wanasema wandishi wetu hawana ethics za uanahabari so hawa jamaa msiwashangae sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.