Huyu Jangiri anajikanyakaga eti CCM imeleta maendeleo vituo vya TV kama AZAM ,dahhhh kweli wameishiwa sera,
TIDO kamtit jangira chama kile kile ilani zile zile
Hua sina muda na gazeti Hilo,lakn baada ya kusikia heading ya Leo ,Waandishi na Mhariri wa gazeti la Uhuru taaluma yao wameipatia chooni wakipiga kimbaaa ni washenziiiiii kabisa.
Hawa ni mashetaaaaaaani kabisa
Kweli nilipita mitaa ya Ghandhi hall Mwanza mijitu ya mavazi ya kijani yamelambishwa umatemate baada ya kumdhamini Fisadi,kweli wamevuna Leo hapo ndo imetoka tena since watachinja mapema.....UKAWA on the way to Magogoni
huyu Chipanzee karopoka ndotoni,mchapaji wa usingizi mjengoni anaropoka pasipo kujua anachokifanya, ka gamba kao ka SIOI hakajui hata siasa masikini kana bwabwaja tu jukwaani ndo maana wanahaha kujinasua japo tope liko shingoni tayar.Wana wa ARUMERU tuwe makini na utawala huu wa kiimla katika...
We kweeeeeeeeeeeeeeli ni kibonde......................... nadhani umetumwa na hawa Majani ya kijani wenziooooooooooo,
Wenyewe ni makupe they know nothing about good governance n Leadership Kenge nyinyi
Hii sirikali yetu inaongozwa na vipofu.......,mijizi yetu inatembea njiani kama Tembo mbugani serengeti,iafahamika fika hii mikupe kazi ni kubebana na uswahiba usio na tija.
Ukiwa jizi na unavaa majani ya kijani ndo kwanza unapewa u DC,RC,MP na mivyeooooooooooo inayoitwa eti Presidential App'nt.
Dahhhh!! Mh. Chiku kanikosha ile mbaya , muda wa mabadiliko ulishafika na watanzania wanaitaka nchi yaoooo.Makamanda hicho ndo tunachokitaka kwani vijijini hawa magamba fisadi ndo wanakopindishia matokeo.
Tukijikita huko kwa mfano wa Chiku 2015 tanzania ni ya watanzania wenyewe.Makamanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.