Sikiliza kijana wangu, yupo Yesu ambae anakupenda na yeye ni mfalme wa amani. Ukimkaribisha Yeye utapata amani ambayo Ulimwengu huu hauitoi.mkiri kwa kinywa chako kuwa ni Bwana na kuamini moyoni kuwa Mungu alimfufua katika wafu utaokoka
wenzako ni wazoef kuleta watu kwenye ufalme wa Mungu we unakuwa hodari au mzoef kuifanya kazi ya shetani, unajua mwisho wake? Badilika mwamini Yesu akusaidie
Waliangukialo watapasuka vipandevipande na liwaangukialo litawasaga tikitiki. Hakika Yesu adumu wa kuaminiwa na wengi tunamkiri na kumwamini kuwa ni bwana na Mungu alimfufua kutoka kwa wafu
imi niliwapa ndugu zangu kusimamia biashara nami nikaendelea kufanya kaz nikapoteza zaid ya milion kumi na tano. Nimeamua kutake risk ya kuacha kaz. Nasubir changu NSSF nipambane kivyangu kwenye ujasiriamali
YESU ni Bwana na Mwokozi wa Ulimwengu. Kila amwaminiye hatapotea bali atakuwa na uzima tele. Nakushauri umwamini YESU umpe nafasi ndani ya Moyo wako naye atayabadilisha maisha yako. Zaidi ya yote atakupa mke Mwema
Safi sana, biblia inasema aliyesimama aangalie asianguke, pia wakati wa amani ndipo yule mwivi huja. Kwa hiyo ushauri wangu kwako ni kuwa katika kipindi hiki cha neema wekeza kwenye maombi yakulinda ndoa yako. kumbuka yusufu wakati wa neema aliweka chakula cha akiba. Mungu wa Mbinguni akubariki...
Japo kuwa umewauliza akina dada mi naweza kukushauri kuwa msingi wa ndoa ni Mungu. Kwa hiyo huna hata haja ya kujaribu wanaume maana waweza kuishia kubaya au kuumizwa zaidi na kujikuta umekosa kabisa hii sehemu nzuri kabisa ya maisha yako ualiyobaki. Mwombe Mungu na ujiamini kuwa kwa namna...
Inategemea na instruction ya mwenye kazi. Wengine hutaka CV peke yake na wengine hutaka CV pamoja na covering letter inayoelezea kwa nini unafikiri unafaa kupewa hiyo kazi. Mara nyingi watu wengi siku hizi hawana intrest na vyeti katika hatua za mwanzo.
Cha msingi hakikisha CV yako inaweza...
Jamani mnenifurahisha sana kwa comments. Jamani wale ambao hatukuoa walimu tusiwe na mashaka pia tumepata wake wazuri. isiwe chanzo cha kutafuta wanawake wengine bure........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.