Wanatutesa sana hao na tipper zetu za mchanga ndio mtaji wao mkubwa
Mkuu hao jamaa ni maarufu sana hio njia ya Bagamoyo nadhani hawatumii gari moja kwa kuogopa kujulikana, mimi nina magari yangu ya mchanga njia hio madereva wangu wananambia hawawezi kuniletea hesabu bila kuwatoa wao kwanza...
Leakage za kishenzishenzi ni pamoja na airport kwenye kulipia visa uhamiaji wanataka tulipie kwa usd,kwanini wasi convert thamani ile ile ya gharama ya visa tukalipa kwa tsh ???
mkuu ingekuwa ni instructions za matumizi ya dawa nadhani ungekuwa umeshaji overdose tayari,hakuna mahali pameandikwa aliecharazwa viboko ni mtoto,bali imeandikwa kuwa aliecharazwa ni mzazi .Tujitahidi sana kusoma kwa utulivu na kuelewa kilichoandikwa huku kukurupuka ndio kunakofanya dhahabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.