Nenda kwenye office za sanduku la posta zilizopo karibu na wilaya yako au karibu nawe.
Kuna sanduku la posta kwa mtu binafsi na kampuni.
Nenda na kitambulisho chako cha NIDA, Mpiga kura na Barua kutoka serikali ya mtaa inayo elezea kuwa unahitaji huduma hiyo. Ambatanisha vyote kisha nenda kwenye...
Habari ndugu zangu, pole na uchovu wa siku nzima.
Leo nimeona niwasilishe haya mawazo kwa ufupi, ili tuweze kujadili na kuweza kujua nini cha kufanya ili tuweze kuvuka hatua moja kwenda nyingine.
Twende kwenye mada husika
Kwa kipindi kilefu nimejaribu kupitia na chunguza biashara za...
Garama za SWIFT Transfer (Bank Transfer) ni kubwa mno kiasi kuanzia $10 - $700 ni $15.
Kuanzia $701 na kuendelea wana charge 1.5%.
Sasa hapo walio wengi ni ngumu kifikisha zaidi ya $700 labda uwekeleze pesa mpaka zifike $701 ndipo utoe kwa bank transfer.
Njia ambayo huwa naona ni nzuri.
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.