hataa mimi nimekua namwambia hivo ila dogo akiwaza walipo toka na jamaa ina muuma sana,sasa ndo mambo yameanza kuwanyookea walitoka chuo pamoja hawana hata kitanda.
wanaume tafadhali naombeni mawazo yenu ili nimsaidie mdogo wangu ushauri,hili mana mnaweza kuwa na mawazo ambayo ya ukweli mwingi zaidi,
Hivi kweli ukiwa umekaa katika uhysiano kwa miaka 6 without a legal marriage, na kubahatika kupata mtoto, lakini kila unapomweleza mwenzako kuhusu kufunga ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.