2nd
When t comes to disstrack not necessarily ukajibu kilichoandika
Dis is dis mtu unatoa mapungufu ya upande wa pili u dont stick kwenye hoja au point zake
Huyo motra kadis alivyodiss na wao watamdis kivyao
Usiwapangie jinsi ya kufanya
Kama motra ameanzisha ugomvi wa mawe kwenye nyumba ya kioo...
Boss hata nyimbo za bolingo zina message
Think better
Hiphop has its own way kuanzia uandishi mpaka uwasilishaji
Motra is ajust a rapper kama ally choki na wengineo all they do is rapping
Anatopoka tu temana nae
Tatizo ya machalii wengi wa arusha wanajiona hiphop while they knw nothing n by nothing i mean nothing at all about hiphop
Kuvaa vile visuruali vya kubana na ile.mibushori wanajiona wao na ma krs1 wao ndo ma naughty by nature
Ona kama huyu mwana kumsifia motra tu kwa ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.