Mimi Nina degree ya wildlife science naomba aniajiri kama range land manager, kama una fund yakutosha unaonaje tuka anzisha zoo au ranche au garden ya mboga za majani, matunda, tukafuga kuku wa mayai na nyama pamoja na ngombe wa maziwa, tuka anzisha na mabwawa ya samaki tukawa tuna sambaza...
nina degree ya wildlife science and conservation natafuta kazi zinazo husiana na hiyo kozi, mwenye taarifa yoyote kuhusiana na kazi za hiyo kozi naomba anihabarishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.