Pia kitukingine ambacho wamechemka sana nikitendo chakuonyesha route zote huanzia dar peke wakati kunamijimingi tu tanzania ambayo imeendelea na imekwishapewa hadhi ya kuwa majiji !!!!!!?
Swali kwa huyo katibu? ameongelea kuhusu wafanyakazi wa uma wasijihusishe na siasa! na je analionaje hili la mawaziri kuwa wabunge! au katumwa kuja kufanya siasa za chinichini na kuwapiga mkwara wafanyakazi wa uma. Kwajili ya uchaguzi ujao wa 2015, asijidanganye huyo sasahivi kila mtu anaijuwa...
Wote ni walewale hapo hakuna wakumkemea mwenzie! nishidah kama mtanzania final ni 2015 tumia kura yako vizuri, kura yako ndiyo itakayo leta usawa ktk tanzania.
N hivi washazibiti rushwa tz. Kuunganishiwa meme bure, kwa nchi yetu hi bado sana! ni kama ndoto za alinacha sijuwi. Maana hi huduma ya sasa ya kuunganishiwa umeme ni yakulipia na watu tunalipia gharama zote za kuunganishiwa umeme, na bado hatupewi hiyo huduma kwa wakati, mpaka utoe rushwa ndipo...
Tunampongeza kwa kusikiliza malalamiko yalio ya wengi ukijumuisha na ukawa, na wengi tulilalamika kuhusiana na hu mchakato jinsi ulivyokuwa unaendeshwa ktk lile bunge la kuunda katiba mpya, kwa kweli lile bunge lilikuwa linaendeshwa ndivyo sivyo, kwamanahiyo sasa uamuzi alio chuwa raisi ni...
Hao niwaharibifu tu hawana issue kaziyao kubwa ni kuvimbisha matumbo yaotu, na hawako kimaslahi ya nchi! na sasa ni kazi kwetu wa tanzania kuwatambua vizuri watu wa jinsi hiyo, na watu wa jinsi hiyo huruka yao kubwa ni unyonyaji.
Kunahaja ya waziri husika kuja kutoa ufafanuzi kwa wananchi, maana serikari inawajibu wakutoa ufafanuzi huo kwa wananchi wake! wengi wetu bado hatujuwi ni sababu gani? zimepelekea serikari kubadilisha noti ya shiring miatano kuwa sarafu! wakati huohuo hili swala huwa linagharimu fedha nyingi...
Mimi naunga mkono hoja, kuwa serikalri lazima ijipange kuzibiti hizi ajali barabarani! na serikari inajukumu la kuhakisha inakomesha kabisa hizi ajali barabarani, pia tunatakakuona serikari inachukua hatua stahika ktk kukomesha ajali barabarani. Na sisi kama wananchi tuta pima na kuona ni...
Narejea kutika kifungu namba moja: MAHAKAMA YA KADHI, hivi mbona hamuelewi nyie watu mmesha ambiwa hi katiba sio ya dini, hi katiba niya nchi nasi ya waislamu, kwamana hiyo basi kama hao wajumbe watatoka nje tutawashanga! na tutajuwa wazi kwamba kumbe lengo lao kuu ilikuwa nikupeleka sheria za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.