Hello
Natafuta wafugaji wa kuku wa kisasa,kwa mwenye uwezo wa kufuga kuanzia kuku 5000 maeneo ya Dar.Tukielewana tufanye biashara.
PM kwa aliye interested.
Asante
Habari zenu wanajamii?
Nina shida ya kuku wanyama wakubwa kuanzia 1.5kg nakuendelea,bei ni maelewano katiyangu na mfugaji.Nahitaji zaid ya kuku 3000kg kwa wiki wakiwa fresh na wameshachinjwa.Tafadhali mwenye nao ani PM no yake.
Natafuta maduka ya vyakula au yenye biashara yeyote ambayo unaweza kuweka freezer kwa ajili ya kusambaza nyama baridi(frozen meat)kama kuku,ngombe na batamzinga.Freezer hizo tunazigawa kwa wenye maduka ili aweze kununua bidhaa kutoka kwetu na kuhifadhi kwenye hizo freezer maeneo ya dar.Kwa...
na siku hizi wamejaa sana huku mjini hasahasa mitaa ya huku mikocheni na kaiz zao huwaga hazijulikani kivileee...migeti mikubwa na uzio ndani yanaendelea mambo mengine mengi hasa maovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.