Unakoelekea unataka kumaanisha Trump ni Nabii? Tafadhali bhana! Mtu huyu anaelalamikiwa kuwakashifu wanawake mpk watoto wadogo unabii wake utokee wap??
Ukweli unajulikana... Ila kama ni kweli walibaka na wakawalawiti watoto wadogo.... Mh. Rais itakua hakuzitendea haki familia za watoto hao. Aidha vyovyote iwavo, mimi cungi mkono kabisa wananchi kuwafanyia shangwe watu hao wakati wakitoka gerezan.... Maana ni iman yangu kua hakuna mwananchi...
Binafsi ckubaliani na kumtusi au kumzihaki Mkuu wetu wa nchi, au hata kama asingekua Mkuu wa nchi kistaarabusi vyema wala uungwana kumtusi au kumkashifu na kumzihaki binaadam mwenzio....
Lakini mi ckubaliani na baadhi ya maamuzi au hata maelekezo anayoyatoa kwani yanakua yapo kinyume na sheria...
Tatizo sasa hata akikosea kweli anapokosolewa mlomzunguka mnampotosha zaidi, ndo mana kunatokea misuguano mikubwa isiyo ya msingi, mfano suala la wanafunzi wa UDOM, pale nahisi Mkuu alipotoshwa tu, mana katika hali ya kawaida huwezi wasimamisha masomo wakiwa mwaka wa mwisho, kisha wote bila...
Mmnh mi ninashindwa kukubaliana na wew katika hili. Maana Mh. Magufuli ni binadam kukosea lazma. Mfano hivi karibuni alipokua anazungumza na maafisa wa jeshi la polisi, inasemekana kua alisema kua askari polisi kuchukua fedha za kupiga buti kiwi si rushwa, hili pia kumkumbusha kua Mh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.