Search results

  1. CR wa PROB

    Kubadirishana na mwalimu anayetoka njombe/mkambako

    Kama unahitaji hapa Mufindi wewe sema nikupe post yangu!! unaweza ukanitumia PM kama utahiji.
  2. CR wa PROB

    Mwanafunzi wa mwaka wa pili udsm,akutwa amejinyonga.

    Kama kweli chanzo ni kupigwa chini ndio ujinyuongee, ni bora wafe waishe kwani hata hivyo kwa sasa ardhi yetu haina rotuba ya kutosha hivyo vifo vya fedhea kama hivyo kwetu ni faida sana kwani mbolea itaongezeka kwenye udongooooooooo!!!!!!
  3. CR wa PROB

    chuo gani kizuri kwa kusome computer science?

    Mimi nakushauri kama kweli unataka kusoma ili ujue vizuri kazi yako, nenda vyuo vya tech kama DIT huwa ndio vinztoa zao la ukweli. Lakini kama dhumuni lako ni kupata theoretical degree nenda kwenye hizi University zetu za ndani ya Nchi.
  4. CR wa PROB

    kwa wanaojua horticulture,agronomy na agricultural general

    Bora uwe Fukara, ila upate akili. Kama kweli wasomi ndio mnafanya fikara mbovu kama hizi, sijui sisi amabao hatujasoma itakuwajeeee!!!
  5. CR wa PROB

    Msiba SUA

    Kwa mara ya kwanza ya kwanza leo nasikia kuwa SUA kafa wa kike even though kajinyonga, huwa hapo SUA walikuwa wanakufa wanaume tuuuu!! Inawezekana zile slides za akina Prof Kasuku na mwenzake Prof Silayo zimemuuumiza huyu mdada kisha kaona haina maaana yeye kuendelea kuishi huku Physiology na...
  6. CR wa PROB

    Hata Afrika tuna Falsafa yetu.

    Umeleta wazo la msingi sana, ila nakushauri uende ukasome vizuri kabisaa kiatabu cha Falsafa na Usanifu wa Hoja kutoka kwa Wayunani hadi Watanzania (Waafrika) kilichoandikwa na Dk Adolf Mihanjo hapo ndipo utajua ya kwamba waafrika tuna falsafa au hatuana.
  7. CR wa PROB

    Serikali inapanga kuchakachua matokeo kidato cha pili

    Mimi wasiwasi mkubwa ni kuwa hii mitaihani ipo chini ya mkaguzi mkuu wa Elimu Kanda, na hawa huwa wanashindana ni yupi kafaulisha sana ni yupi kafelisha sana hivyo itakuwa ni rahisi sana kwao kuanza kuchakachua matokeo kwani kila mmoja hatotaka kuwa nyuma ya mwenzake. Hivyo nitoe ushauri wangu...
  8. CR wa PROB

    Faida au hasara za misaada

    Wahenga walisema 'Amlipae mpiga nzumari ndio huchagua wimbo' Mara zote kuendisha taifa kwa kutegemea misaada sio jambo zuri kwani hata misaada yenyewe anayekupa ndiye atakayekuchagulia kipi cha kufanyaia na kipi sio cha kufanyia na mara zote waliopo juuu huwa hawataki kufikiwa na waliopo chini...
  9. CR wa PROB

    Kidato cha sita kujiunga na jkt mwaka huu

    Mbona hizi taarifa zako hazionekani kuwa na ukweli wowote ulee??? inakuwaje watenge shule nyingi sana za privates?? source ya taarifa plz!!
  10. CR wa PROB

    Elimu za malezi na ndoa kwa graduates/wanachuo ni muhimu.

    Wazo lako ni zuri sana mwanajamii mwenzetu, lakini tatizo ni kwamba Mbwa mzee hafundishwi kubweka!! kwa uelewa wangu mdogo hakuna eneo ambalo lina watu wenye fikara finyu katika swala la ndoa kama wanafunzi wa vyuo vikuuu!! Tatizo linalowakumba ni kudharauliana palepale chuoni, na hata ukimtaka...
  11. CR wa PROB

    Chama cha Walimu Tanzania (CWT) chaanza kugawanyika

    Kama kweli hawa waalimu wangeamua kufuata ushauri wangu wa Mei mosi ya mwaka 2008, wa kuomba kwamba hiki chama tukibadilishe kiwe chama cha siasa hapo mafanikio yangekuwepo!! lakini hivi hivi huwa gari la kuvutwa haliovertake! Lakini kama ni kweli kuna tawi jipya limeibuka ndani ya CWT itakuwa...
  12. CR wa PROB

    Ajira za walimu:siku kuhesabiwa.

    Miongoni mwa kazi mbaya duniani ni zile ambazo hazina MASALIA, kuna vijana wengi sana najua wanakuja kwenye wizara ya Elimu wakiwa wametokea directly from University & Colleges huwa wanakuwa na mitazamo mikubwa sana juu ya hii kazi, but If you want to know how to swim you must jump into the...
  13. CR wa PROB

    Hamna kazi nzuri kama ualimu jamani.

    Nilivutiwa sana na tittle ya thread yako, ila kitu kilichonishtua ni haya madudu uliyoandika humu!! Mimi nahisi wewe sio mwalimu wa kufundisha wanafunzi wa darasani, ila unaweza ukawa mwalimu wa kijiwe cha wahuni tuuu!!
  14. CR wa PROB

    Watahiniwa 3853 washindwa mitihani NBAA

    kama kweli hizi takwimu zina ukweli ndani yake, itabidi hadi huku kwetu kwenye elimu nako kuwe kuna board ya kuwatungia waalimu mitihani ili angalau tuondoe hawa abrubakacha kwenye elimu.
  15. CR wa PROB

    Wanafunzi Ardhi University waandamana kupinga kuzuiwa kuvaa nguo fupi, kubana

    Ni bora tungeondoa uhuru wa Mavazi kwenye hii Nchi, kwani hali ni mbaya sana!! Hawa dadaz kwa sasa ni balaa, hata kama ana miguu iliyopinda kama ya Mbwa wa Parokiani naye utamkuta na mavazi ya ajabu kweeeelii!!!
  16. CR wa PROB

    Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

    Hyo sasa kali, ina maana wafanya kazi au manual work??
  17. CR wa PROB

    Open university

    Mbona kwa hizo pass akiomba Chuoni moja kwa moja anapata, labda ungeweka wazi kuwa amesoma combination gani!!! Na ni vyema hata kama ataomba kupitia TCU ajaze zaidi vyuo vya private kwani wanaweza kumchukua. Lakini kwenye swala zima la open University mimi siungi mkono hoja kwani kuna jamaa...
  18. CR wa PROB

    naulizia utata wa system mpya ya kutoa mikopo vyuoni

    Wewe kaa ukijua ya kwamba Wanafunzi wa UD, Wanajua kupigania haki zao za msingi. Na vilevile UDSM wana utawala mzuri sana, kuanzia Serikali ya Wanafunzi hadi wamiliki wa chuo.
  19. CR wa PROB

    je wanafunzi walioandika matusi kwenye mitihan ya taifa wanastahili adhabu ya miaka 3?

    Sema tatizo la Nchi kama ya TZ ni kukosa utawala wa sheria na kutoa updates kwa wananchi, Kwa kweli tumesikia kupitia baadhi ya vyombo vya habari kuhusu hili swala ila jambo la kusikitisha nimkwamba adhabu waliyopewa niu ndogo sana wala haiendani na kosa walilolifanya. Hivyo ingetakiwa angalau...
Back
Top Bottom