Nasali nipate mwanaume mwenye msimamo na pendo lake, aweze kusimama imara na kutetea pendo lake hata kama unatokea mtihani mkubwa wa aina gani katika penzi, mwenye uelewa na huruma juu ya hisia za mwenza wake, hizo characters nyingine zaweza kuwa imaginary, in reality sifa zingine zinakuwa za...
Kila shetani na mbuyu wake mwaya!go head and prove them wrong...you will make a nice family!me i loved ur deep kisses cku ya bthday, aisee raha ya mapenz kujiachia, acheni wanafki wachonge na waombeeni maisha marefu waone success zenu na ndoa yenu, all the best wema and diamond!i love to see...
Basi sisi wapanda daladala ndo tunakoma!kuna madume inanuka vibaya!jana nilikuwa kwenye daladala, mwe!nusu nizimie, mtu anatema harufu kama guruwe!tukafungua madirisha yote lakini wapi!ful ku suffocate!!wanaume wenye tabia ya uchafu muache jamani!hv hata mwana mke atakukiss vipi kama hali...
Basi sisi wapanda daladala ndo tunakoma!kuna modume inanuka vibaya!jana nilikuwa kwenye daladala ya mwenge chuo, mwe!nusu nizimie, mtu anatema harufu kama guruwe!tukafungua madirisha yote lakini wapi!ful ku suffocate!!wanaume wenye tabia ya uchafu muache jamani!hv hata mwana mke atakukiss vipi...
I hate pretenders like you!!!be real!if u dont love her then let her go, wewe unatamaa na zawadi zake na jinsi anavyo ku handle, waache wanaostahili wapewe penzi, u are not real!!i dont like you pretender, i can be in her shoes..its very bad to play with other people's feelings..be honest...
Kwakweli hali mbaya, hii mada imenigusa sana..wasomi wengi wanakuwa hopeless...hata hiyo elimu inakuwa haina maana kama mtu anavyeti kibao halafiu vinakuwa kama mapambo, inasikitisha sana, hebu tusaidiane kukabiliana na hili jambo maana hali mbaya sana..
Ni kupasuana vichwa bure, hata vyama vibadilike mara saba sabini, ije chadema, chademana, cuf, cufuana, ibaki ccm au ccmua watu kula kupo palepale, watu wanaongea tu..hakuna mtu asiyeingia kwenye system akaacha kula yeye kwanza, mimi naona wengine humu 'ndo wale wale tu" hakuna mtu kila kukicha...
Mh!kaazi kweli kweli..mtanzania wa kawaida ambaye hata shule ni mungu asaidie, hatoweza kuelewa alipo, wala anapoelekea maana tunayumbishwa na vyombo vya habari regardless ni old media or new media like social media. Hawa wanasema hivi wale vile, wengine hawaelewi which is which, sometimes i...
Hajaolewa, ni binti mkubwa anakaribia umama, si ndo hivyo nilisema hapo juu kuwa wachumba hawakai nae,akipata mchumba anampiga chini, sababu zisizo eleweka, cyo kwamba hajatulia katulia sana tu ila anabahati mbaya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.