Habari Wakuu! Nina uhitaji wa gari iliyopata ajali subaru Impreza model ya mwaka 2008-2010. Kwa mwenye salvage ya aina hiyo ya gari tunaweza kuwasiliana.
Ni mmoja ya washitakiwa katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mh. Tundu Lissu,pamoja na Mhariri wa Gazeti la Mawio, Simon Mkina na Jabir Idrisa. Pengine hii tender wamekuwa awarded kwa makubaliano ya kazi pasipo malipo in exchange ya wao kufutiwa mashtaka. Kwani uhusika wao katika kesi ni kwa...
Pole sana, kwa ninavyo fahamu DAR IVF wanatoa hizo huduma na kuna watu kadhaa ambao ninawafahamu binafsi wameshapata hizo huduma kupitia hicho kituo. Jaribu kuwatembelea au uwapigie simu ili upate taarifa zaidi.
Tokea awali nilipatwa na hisia hii inawezekana kuwa ni stunt ya kishamba ya kutafuta publicity na kwa asilimia kubwa alifanikiwa kwani "alibreak the internet" siku alipoweka wazi kwamba amekuwa anakuwa physically abused na mumewe,watanzania wasishangae wakimuona na mavazi ya kijani na njano...
Itakuwa pia ni njia ya kuepuka lawama iwapo chombo kitapata ajali halafu ibainike kwamba chanzo ilikuwa ni uzembe wa TEMESA kwa kubeba abiria kuliko capacity ya chombo. Overloading bado imekuwa ni kizungumkuti katika sekta ya usafirishaji abiria katika nchi hii.
Unaweza kuwa una taarifa ila zikawa sio taarifa sahihi.Mimi binafsi nimeuguza mzazi wangu katika ICU ya Jakaya Kikwete Cardiac Institute mwaka 2014 na taasisi ilikuwa inafanya kazi na mpaka surgeries zilikuwa zinafanyika kwa wakati huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jitahidi kulala kwa muda unao shauriwa na wataalamu, kula vyakula vyenye madini ya zinc,kula matikiti maji,ndizi, parachichi, almonds,tende,mtindi,mchanganyiko wa asali na mdalasini.Ikigoma bado rudi hapa tukushauri supplements za kutumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu gari yako ni gari gani? Issue wanayoangalia ni kama kwenye kadi inasoma STATION WAGON wewe utalipia Tshs 2000, kama gari yako inasomeka kama saloon kwenye kadi utalipia Tshs 1500.Sasa haya mabadiliko yanayo zungumziwa hapa ni kwa wamiliki wa saloon cars kuanza kutozwa Tshs 2000 badala ya...
Kama unajiamini na hali yako ya usafi na mwenzio yuko comfortable kukufanyia hiko kitendo,sidhani kama kuna shida yeye kukukiss.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta, basi jitahidi nawe kuwa unachanganya na zako.Hayo ya kusema "fulani alisema" ni kiashiria cha kwamba umetosheka na kuridhika na kauli za huyo fulani kwamba ni sahihi kwa 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.