Ki historia, ni wilaya ya kwanza kuanzishwa Tanzania na mkoloni
Lakini kimaendeleo ni maskini kuliko zote Tanzania na hata wilaya ya Mafia ina afadhali
Pia msisahau kuwa ni wilaya ambayo jimbo lake limekuwa likiwasilishwa na CCM tokea uhuru...na moja kati ya waliowahi kuwa wabunge wa Kisarawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.