wana jamvi,nimeamua kuandika maada hii baada ya kutafakari kwa mda,mnamo tarehe 25 august 2014 mfanyakazi mwenzangu alipewa likizo bila malipo ili aweze kwenda jeshi la kujenga taifa kwa mujibu wa sheria,ambapo alianza likizo take tarehe 5september na kutakiwa kuripoti kazini tar 27 December...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.