laiti pesa hizo wanazotumia kuwanunua wapinzani wangezirudisha kwa wananchi kwa kuzielekeza kwenye miradi ya maendeleo, hakika nchi hii isingekuwa hapa ilipo leo
...uko sahihi mkuu, huwez shindwa walipa watumishi kwa wakati kwa kuwekeza pesa mingi kudhoofisha upinzani! wanatakiwa wadhoofishe upinzani kwa kutatua kero/changamoto zinazowanga wapira kura/wananchi!
Hakika hauko sahihi mkuu.....nikikumbuka jinsi kiti cha spika kilivyotamia ushahidi/uthibitisho wa waziri mkuu kuongea uongo bungeni, Lema hawezi kuongea kitu/jambo ambalo hana ushahidi/uthibitisho nalo hivyo basi jamaa hana hata chembe ya uongo
Kikulacho kinguoni mwako mkuu.....
Nowdays tuko na mkoloni mweusi ambaye ni mbaya kuliko yule wa siku zile, maana hawa jamaa tulio nao sasa wanatunyonya mpaka tone la mwishooo!
Mkuu inaonekana hujielewi waongea vitu gani? Kwani Kiwia kalichukua jimbo la Ilemela kutoka mikononi mwa nani?
2010 Kwa mkono wake Diallo alisaini kukubali matokeo kuwa Kiwia ndio mbunge wake wa Ilemela
Mkuu unaifahamu vizuri shughuli ya kilimo au waropoka tu? Kilimo sio kazi rahisi kama unavyofikiria!
Ndani ya nchi hii, huwezi kulima popote na zao lolote kwa kipato unachokitetea hapo juu!
mkuu huko tuendako si ajabu kusikia hivi
Ang'olewa meno kwa kushindwa kutekeleza ahadi zake.
Wanaopigiwa kelele wabadilike kutokana na udhaifu wao kiuongozi wakigoma KUBADILIKA, wapiga kelele uamua KUBADILIKA wao kwa kuacha kupiga kelele na kuchukua hatua kwa vitendo..... Ni hatua tuliyofikia...
Mkuu huko tuendako sio ajabu kusikia hivi
Ang'olewa meno kwa kushindwa kutekeleza ahadi zake.
Hahahahahaha na kwa kulipwa mamilion ya kodi za wananchi bila kufanya shughuli/kazi lengwa ya kutetea maslahi mapana ya mabosi/waajiri wake ambao ni wananchi
Sio lazima mkuu ingawa wote wanaingia kwa mahusiano wakitegemea hayo matokeo! Mkishawekana karibu mnapata wasaa wa kujuana kiundani zaidi, kujuana huko ndio kutapelekea maamuzi ya aidha kuoana au kutokuoana!
Kabla ya kulaumu wanaume jitathmini kwanza, usikute wewe ndio tatizo la kutemwa! Angalia unakosea wapi, rekebisha makosa hayo utapata mwanaume utakayejiweka daima
Tukionacho ni bora maisha na sio maisha bora kama alivyoaminisha wananchi, anang'ang'ania majukumu ambayo hayawezi hata robo kwani uwezo wake uko chini mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.