Hello wandugu.. Natafuta watengenezaji na wauzaji wa sofa za kisasa zilizotengenezwa kwa leather kwa matumizi ya nyumbani. Bei iwe reasonable. Mwenye namba ya muuzaji au anayetengeneza mwenyewe pls nijulishe. Nahitaji zilizotengenezwa vizuri zinazobonyea, kama vile zimeagizwa kutoka nje.
Ahsanteni.
Hello wandugu,
Natafuta watengenezaji na wauzaji wa sofa za kisasa zilizotengenezwa kwa leather kwa matumizi ya nyumbani. Bei iwe reasonable. Mwenye namba ya muuzaji au anayetengeneza mwenyewe please nijulishe. Nahitaji zilizotengenezwa vizuri zinazobonyea, kama vile zimeagizwa kutoka nje...
Naombeni msaada wa mawazo. Mimi ni mwanafunzi nimemaliza mwaka juzi nimepata pass (gpa ya 1.3). Ningependa kwenda kusomea nursing nimeshahangaika sana na ndugu zangu wamehangaika bila mafanikio.
Naombeni msaada wenu wa mawazo wa chuo na course yeyote ile ili niweze kusonga mbele. Asanteni sana...
Mimi nina shida. Naombeni msaada wenu wa mawazo. Nimemaliza form four mwaka juzi nina pass ya 1.3. Ila ninataka nikasomee uuguzi, naombeni msaada wenu nifanyeje. Nimeshahangaika sana na ndugu zangu wamehangaika bila mafanikio. Ninahitaji kusoma, hata kama sio nursing hata course yoyote ile ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.