Inaonekana watu wengi wanazungumzia suala hili bila upeo wa kina juu ya uislam na misingi yake.Ujue uislam ndio uchangie mada kama hizi sio kukurupuka ......Huu sio ushabiki wa ccm na chadema......Kuheshimu imani ya mwingine ni kuheshimu na kuujali utu wako.
Kutumia wataalamu wa uongo kuuficha ukweli hakumaanishi kwamba ukweli utapotea bali ni kama kutoa majibu ya uongo kwa mgonjwa ambapo ugonjwa ukidhihiri hata asiye mataalamu atabaini mgonjwa yu taabani......na hatutohitaji tena utaalamu katika kubaini ukweli ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.