(a) Dar inahitaji sio chini ya bus stand tatu. 1. Mbezi kwa magari yanayoelekea katikati ya nchi na kanda ya ziwa, kanda magharibi na nyanda za juu kusini na maeneo jirani, 2. Maeneo ya Mbagala kwa ajili ya usafiri kuelekea Kusini mwa Tanzania, na 3. Boko au Bunju kwaa abiria waelekeao...
Kiufupi, hawana cash.
Wanasubiri deposits ndio walipe dividends (NB. ukitangaza dividend sehemu ya faida inageuka kuwa deni, kulipa deni lazima uwe na cash). Kutoa mikopo mipya mtasuburi sana, mark my words.
Hapo bado hujafanya analysis vizuri. Kuna gharama hujaziweka kuanzia na ununuzi wa vifaranga, chakula, madawa, mishahara, etc.
Ukichukuwa hayo ni dhahiri huwezi hata nusu ya anachoahidi.
Hii ni upatu at the best.
wajinga ndio waliwao.
CRDB sasa imekuwa kama kitengo cha NMB kwani uongozi mpya umechukua Directors/Managers kwa kiasi kikubwa NMB (completely recycling). Idea/Model ya NMB ndio imepandikizwa CRDB yaani ubunifu ni zero kabisa (copy and paste).
Tuwe waunguana japo kidogo.
Lissu alikuwa katika hali gani baada ya shambulizi.
Je, katika hali hiyo alikuwa na uwezo wa kuomba rufaa?
Jaribu kushirikisha faculty zote za ubongo wako kabla ya kutoa shutuma kama hii.
Ni dhahiri kuna waliofanya maamuzi kwa niaba bila ridhaa yake.
Mimi sijaona kosa...
Nilivyomwelewa waziri kwenye hili tamko, "watakaoajiriwa serikalini wataandikishwa PSSSF na watakaoajiriwa sekta binafisi ni NSSF" amezungumzia mambo yajayo. Kuhusu yalivyo wakati huu, hakusema neno na hapo ndipo simtofahamu inapowadia.
Nionavyo mimi ni vigumu sana kuwahamisha waliopo sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.