hivi hua ni uvivu wa kutafuta, wa kusoma au ni hulka tu kutaka kuuliza uliza na majibu yanatikana hata kwa kusearch hapa hapa jamii fôrum.
Haya unataka kujua bond za BOT kuhusu nini hasa?ili usaidiwe
Hela za kiwanja alochouza zitaisha ...na atarudi kwako kwa machozi na magoti..na majuto. Na utamsamehe.mtayajenga upya.Amen.
Vumilia kipindi hiki cha mpito.Jambo moja hukufanya, ni kusali na kuomba kwa ajili ya mahusiano yako. Bado hujachelewa ingia magotini.
Na pia kuna faida ya capital gain,na ndio msingi hasa wa Ku trade stocks. Mf CRDB mwaka Jana hisa moja ilisoma 230 sasa ivi ni 430 ..
Angalia capital gain ni ngap,zidisha mara idadi ya hisa zako
Kama hujaoa/ kuolewa/ndoa,haliitwi TENDO LA NDOA.
Inaitwa uzinzi au uvunjaji WA amri ya 6. Unapata wapi nguvu ya Kuita uzinzi TENDO LA NDOA ??
Mwenye ndoa akivunja amri ya 6 na mtu asiye mweza wake,inaitwa UASHERATI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.