Nenda tena jifanye unanunua kitu tena, kama kweli alikuminya kwa kukupenda, atakuonyesha ishara nyingine. Kuwa makini na ndugu zake, kuna jamaa etu aliletewa noma kule Mbeya miaka ya nyuma lakn mwishowe alifanikiwa.
sio kwamba sina uhakika, huyu jamaa kafia Arusha maeneo ya Usa, hapa nilipo naishi karibu kabisa na shangazi ake, maeneo ya kimandolu, na chalii aliekuwa ana muuguza ni chalii etu, ambae ni binamu yake. Kwaio nna uhakika na hii habari.
Ki ukweli hali ya sasa ni mbaya, maradhi ni mengi, lakufanya inatakiwa uangalie kama umethibitisha kuwa jomba ni mlevi wa ngono temana nae. Hakuna cha subra yavuta heri kwa kipindi hiki, "subira yavuta kifo" kwani maisha peke ako huwezi.? Sepa atakuua uo boya.
Kubali kataa io ni mazingira ya rushwa imetengenzwa, 150 > 3000 wapi na wapi..! hadi rushwa ngono lazma ipo. Watu watapigwa njenje apo hawatakaa waamini
Tusipo kuwa makini humu ndani wana "jf" udini ushatia timu. Huyu jamaa anaandikia gazeti gan kwanza nkanunue..? NB: atatugawa humu ndani na topic zake za kiaina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.