Search results

  1. W

    Binti wa kihindi ananitesa...

    Nenda tena jifanye unanunua kitu tena, kama kweli alikuminya kwa kukupenda, atakuonyesha ishara nyingine. Kuwa makini na ndugu zake, kuna jamaa etu aliletewa noma kule Mbeya miaka ya nyuma lakn mwishowe alifanikiwa.
  2. W

    Nimeoka kutoka JF,uteja basi!

    Kwaio sasa umekuwa teja wa nini baada ya kuikataa jf? Kama si uzushi nnini!!
  3. W

    TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

    Tutamkumbuka daima milele, mpaka siku ile Mungu atapotukutanisha tena x 3
  4. W

    TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

    basi nae kaamua kumkimbia mazima milele....
  5. W

    TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

    sio kwamba sina uhakika, huyu jamaa kafia Arusha maeneo ya Usa, hapa nilipo naishi karibu kabisa na shangazi ake, maeneo ya kimandolu, na chalii aliekuwa ana muuguza ni chalii etu, ambae ni binamu yake. Kwaio nna uhakika na hii habari.
  6. W

    TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

    Wana JF kuna habari za kusikitisha nimezipata asubui hi kuwa mr Ebo kafariki, je wenzangu mmezipata?
  7. W

    Nimechanganyikiwa, sikujua kama mwisho utakuwa hivi

    Ki ukweli hali ya sasa ni mbaya, maradhi ni mengi, lakufanya inatakiwa uangalie kama umethibitisha kuwa jomba ni mlevi wa ngono temana nae. Hakuna cha subra yavuta heri kwa kipindi hiki, "subira yavuta kifo" kwani maisha peke ako huwezi.? Sepa atakuua uo boya.
  8. W

    Ni JK au GT wa JF ndio wasiojua ?

    mara nyingi viongozi wanaongea kujiongezea umaarufu tu, hata hao viongozi wa serikali ya mpito ya wali bia hamna lolote.
  9. W

    Natafuta Nyumba Ndogo

    Kaombe ushauri kwa John Warker. mpuuzi wa mwisho we.
  10. W

    Kwanini??????

    ehe.! kwaio ndo haki mnayo taka.¿ ina maana we hujapendwa bado..?
  11. W

    Kwanini??????

    Bado hawajajijua kama wao ni dhaifu, siku wakijijua watastep down. na wataacha kuchonga.
  12. W

    Sababu za Marrian Girls ya Bagamoyo Kung'aa!.

    Kubali kataa io ni mazingira ya rushwa imetengenzwa, 150 > 3000 wapi na wapi..! hadi rushwa ngono lazma ipo. Watu watapigwa njenje apo hawatakaa waamini
  13. W

    Huwezi amini,lakini ni kweli!

    cku ya kec ulikuwepo.,, au blablablabla mingi hapa ndani... kisa umeshiba ugali mbaazi unaanza tujambia ovio,,
  14. W

    ulizo jamani

    Uko cko, mtanikuta mbele..!
  15. W

    Jamaa ahamaki ndani ya daladala!

    Isha kuwa kiporo ii haichekeki wala nn...!
  16. W

    dawa za ukimwi hizooo

    Inatakiwa na ngenya nayo iote.
  17. W

    Revealed; DC WA IGUNGA Fatuma Joseph Kimario Sio Muislamu.

    Tusipo kuwa makini humu ndani wana "jf" udini ushatia timu. Huyu jamaa anaandikia gazeti gan kwanza nkanunue..? NB: atatugawa humu ndani na topic zake za kiaina.
  18. W

    What Made You Stay?

    Mi nikisikia mtu anaoa au kuolewa huinamisha kichwa chini na kuwaombea. coz yalisha nikuta.
  19. W

    Waandishi acheni ushabiki wa kisiasa

    Kapo hujakosea, hata yeye yuko upande flani sasa cjui tuciangie nn...
Back
Top Bottom