Asante! Yes, hakuna utapeli hapa, na kwa mtindo huo ni lazima u-save kiasi cha kutosha. Namsubiri mtu alieko tayari tufanye transactions. Naamini ata furahi na kulidhika sana, maana nina wasiliana na kampuni yake moja kwa moja (kwa simu) na kumsaidia ipasavyo. Mwenye nia usikawie tafadhali...
Asante 'Father of All'. Kimsingi, mwenye nia anitumie tu namba ya simu, e-mail au face book account. Mimi nita wasiliana naye kwa njia hizo na kumpatia taarifa zangu zaidi ambazo anaweza kuzihakiki na kujilidhisha. Zaidi, nita m-guide kwa advocate apate ulinzi wa sheria na kuhakikishiwa...
Salaam!
Mimi ni mtanzania, kwa sasa naishi Japan kwa muda. Natafuta mtu ambaye ana kusudia kununua gari au bidhaa yoyote toka hapa Japan ili tusaidiane ktk transactions za pesa kwa faida ya wote wawili.
Mimi: nakusaidia kulipia gari lako hapa japan kwa kutumia YEN, na hivyo nakuondolea risk...
Inasikitisha sana, nawapa pole wa Tanzania wenzangu na hasa wote waliopoteza ndugu na rafiki katika ajari hii. Mungu awape faraja na kuwaondolea huzuni na simanzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.