Wasalaam,
Kwa yeyote anayehusika!
Tumechoka, tena nasema tumechoka! Mnaotaka kupigiwa kura mwaka huu mfahamu hilo!
Foleni za magari DAR tumechoka! Tulipofikia ni lazima watu baadhi waumie kiuchumi ili kupata suluhu! Ushawahi kutumia masaa manne kwenye mbanano wa DCM la Mawasiliano -...
Sumatra,
Ni sahihi wananchi walio ndani ya Jiji (hardly 10 Kilometres) kulipa nauli ya shilingi 1000/=? Hivyo ndivyo tunavyokamuliwa wananchi tunaoishi Buza Kanisani na kufanya kazi au biashara maeneo ya kuanzia Airport kwenda Gongolamboto.
Ni hivi, ninapaswa kulipa shilingi 400/= kwa bajaji...
Hapo kwenye namba mbili leo ndo nimeelewa. Wakati niko skuli (O-level) kulikuwa na mtindo wa kujamba( bila kutoa sauti) kwa makusudi wakati wa mitihani. Hali ile ilikuwa inafanya darasa linajaa harufu mbaya sana na kumfanya Mwalimu atoke nje, hivyo kuacha fursa ya watu kupeana na kuangalizia...
Mkuu asante kwa ukarimu wako, nilikuja, nimeona na nimejifunza.Naamini nimeanzisha safari ya kuuaga umaskini! Mzee uko njema kwa hiyo kitu, na kikubwa hasa ni uelewa wa kilimo na sayansi yake! Nilidhani ni kajamaa tu kamekutana na teknolojia hii na sasa kanataka tu kupata pesa. UMENIDHIHIRISHIA...
Mkuu natia timu Jumapili kama tulivyoongea. Lakini naomba unitupie material hapa credentobi@gmail.com ili nijenge maswali muafaka nikitoka kukutembelea nikate shauri.
Pole. Si tatizo lako peke yako lakini ni la wengi!
Mkuu ni kwamba mtazamo wako binafsi wa kwamba ndege watapanda labda watu wanaojua kinyaturu tu, si mtazamo wa Aviation Industry! Lakini pia sio kwamba wahudumu wa ndani ya ndege hawatatoa taarifa kwa lugha nyingine isipokuwa kimombo wakati wa...
A passenger seated in an exit seat must:
Be 15 years of age or older
Have the capacity to perform the applicable functions without the assistance of an adult companion, parent, or other relative
Have the ability to read and understand instructions related to emergency evacuation provided in...
Intelijensia - Ukusanyaji/Unyakaji wa taarifa kwa namna na njia tofauti ili kusaidia kufanya maamuzi kabla jambo halijafanyika au kutokea. Kwa Polisi ni kabla uhalifu haujatokea.
Upelelezi - Ni Uchunguzi kwa namna na njia tofauti ili kupata USHAHIDI wa jambo kutokea au kutokutokea.
Uchunguzi wa...
Habari wana jamii/ NSSF Staff.
Mimi ni mwanachama wa NSSF kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Hivi karibuni mfuko wetu huu ulitangaza kuwa utaanza kutoa mikopo kwa wanachama wake kupitia SACCOS tena kwa riba ndogo! Tangazo hilo kama sikosei lilianza kutolewa mwezi wa Mei mwaka huu, ikiwapo...
Hapo kwenye red ndipo zilipo hisia zangu.Kwamba uko mkono wa CDM (uongozi) nyuma ya hii habari ya Lema. Lakini tofauti na wewe, naamini hii ni kama hatua ya mzazi kuamua kutumia fimbo badala ya maneno kumuelekeza kijana ukiwa na kusudio si la kumtia maumivu au kilema, bali kijana arejee katika...
Mwanangu ana miaka sita sasa. Alipatwa na hiyo kitu dege dege (HATARI SANAAA!) akiwa na mwezi mmoja wa kuzaliwa.Shida ilipelekea kulazwa ICU kwa wiki mbili pale Bugando mtoto akiwa hajitambui. Miezi sita baadae, kwa kuona maendeleo yake ya ukuaji si kama ya watoto wengine, tukaenda kwa Daktari...
Wadau.
Niko DSM na nauliza wapi ninaweza kupata miche ya miti hii:
Mijakaranda ya Zambarau
Mikrismasi (si hii inayopambwa majumbani wakati wa Krismasi) ile yenye maua mekundu na huchanua sana mwezi wa kumi na mbili.
Tafadhali mwenye kujua anijuze kwani nina shida sana na miti hii
Mkuu wote hawo.Ila kwa CDF na IGP wakiwa kwenye manyota yao hapana sogea. Ikitokea hawajakaguliwa ni kwa sababu ya mambo mawili tu:
Uoga wa Afisa Mkaguzi utakaosababishwa na;
Macho na maneno ya Wapambe wa viongozi hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.