1. Chief fuel consumption ni variable ya vitu vingi ukiweka pamoja. Sasa iko hivi kama kila kitu kipo sawa kwa maana air filter, spark plugs na vitu vingine vinavyoweza kuathiri ulaji wa mafuta kwa yangu ambayo ni 2009 model CVT transmission napata around 8.5km/l kwa trip za mjini na around...
Mi ninayo tangu January mwaka huu. Kiukweli ni gari nzuri sana, na nimesafiri nayo, Dar-Arusha-Dar. Dar-Ifakara-Dar, Dar-Mor-Dar, Dar-B/Moyo-Dar na Dar-Dodoma-Dar bila matatizo yoyote. I would recommend one to buy.
Binafsi haijanisumbua hadi sasa, cha kuzingatia ni aina ya oil inayotumia mfano...
2005 Toyota Passo
98,000 km
Champagne color
Automatic Transmission
990 cc
5 Seats
All Duties Paid + Registration & Insurance
PRICE: 6.9 M
CONTACTS:
0689132520 call or text that number.
Batman Pizzeria Restaurant which is located along Haile Sellasie Road near Atlantis Hotel, is urgently looking for 2 Pizza chefs & 1 Cashier. A minimum of one year experience in doing similar job is a must.
If interested please send your resume and CV via email batmanpizzeria@gmail.com OR call...
Mkuu inasemekana wafanyabiashara wamefunga maduka kariakoo kugomea mashine za TRA sasa nadhani hizo fujo itakua labda kuna wasaliti waliotaka kufungua ndo wanachezea kichapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.