Search results

  1. ZENTEL

    Mitoto hii bwana.

    Hahahahahaha
  2. ZENTEL

    Jamani TBC hii ni sawa kweli?

    hakuna tv program kwasasa u takuta haina masuala hayo vumilia tu au tafuta ka tv uwe una chek na mke chumbani, mi mwenye nlitoka sikumoja bila kuaga joti alipo anza mambo yake, aibu mbele ya bimkubwa
  3. ZENTEL

    Jaribu kuandika jina lako kijapani

    A- ka b- tu c- mi d- te e- ku f- lu g- ji h- ri i- ki j- zu k- me l- ta m- rin n- to o- mo p- no q- ke r- shi s- ari t- chi u- do v- ru w- mei x- na y- fu z- zi
  4. ZENTEL

    Mapenzi basi!

    Raha ya mapenzi we ndo upendwe, asilimia kubwa ya watu wapo na wapenzi wasio wapenda kwa dhati, unaempenda kwa dhati na ye kuna mtu anampenda kwa dhati pole sana
  5. ZENTEL

    Tamaa mbaya: Afumaniwa ndani ya gari...

    :whoo: nipo nje kidogo
  6. ZENTEL

    Nimemchanganya mama mwenye nyumba na house girl wake!! Part oNE!

    muosha huoshwa we ngoja tu........................
  7. ZENTEL

    Nimemchanganya mama mwenye nyumba na house girl wake!! Part oNE!

    tamaa itakuponza.................jifanye kijogoo tu
  8. ZENTEL

    Ushauri wa dharura:Girlfriend wa rafiki yangu ananitaka..

    Mega kimya kimya rafiki sio ndugu
  9. ZENTEL

    Marafiki wanaoishi DAR... Sio kabisa

    We nawe una mbwembwe chuo mwaka mzima mnaonana hujatosheka? wengine wanaogopa kuwaleta kwao kwasababu si wpte wanamaisha mazuri.....................wanaogopa
  10. ZENTEL

    Ndoa za kikristo ni mkataba wa milele......

    nataka kujua ivi mfano umemuona mmeo au mkeo ametoka mwa m/ke au m/me gest na mtu unaemjua kabisa ana h.i.v ...............na ukagoma kulala nae kwa madai ya kwamba mpaka mpime..........mkipima mwenzio ana hiv we huna je mtaachana au mtaendelea kuwa mtu na mumewe? Utakubali upate hiv na ww kwa...
  11. ZENTEL

    Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

    chips mayai kila siku, kuku anataga kila siku mayai mawili tena bila dume, kuku katengenezwa na umeme utajosa kua na kitambi? maradhi yaho
  12. ZENTEL

    Kwa nini wanawake wengi wanapenda kumegwa bila condom?

    Mwanamke mwenye kupenda maisha yake kama huajawahi kupia nae hawezi kukubali kufanya bila condom ukiona ivo kimbia baba
  13. ZENTEL

    Wanafumzi wa vyuo na mapedeshhee

    hatuja kataa ila katika wanaume 50 utapata 3 au 2 wanao lelewa na wamama ila wanawake 50 pengine wote au watano to utakuta wako poa wengine wote..................
  14. ZENTEL

    Love Calculator

    unataka nife kwa presha wakati najua bibiako annipenda.........lol
  15. ZENTEL

    Kati ya tamaa na upendo kitu gani kinaanza?

    mtu mmoja kwani vipi?
  16. ZENTEL

    Wanafumzi wa vyuo na mapedeshhee

    ujasiri yamali gani wakuuza mwili? kuna biahsara kibao za kina dada tena wanafanya wanafunzi wengi wa vyuo.................wanauziana urembo, nguo.................mpaka uuze mwili au mwili bei yake kubwa halafu haina mtaji?
  17. ZENTEL

    Wanafumzi wa vyuo na mapedeshhee

    UKWELI UTAJULIKANA TU KUMBE HATA SAUT PIA? DUH.......hawa wa wazee wenye pesa wanafanya sisi vujana tuone kane vikatuni kwa madem zetu.......
  18. ZENTEL

    Kati ya tamaa na upendo kitu gani kinaanza?

    Hivi wale wanao anzisha uhusiano kwanza wanaanza kutamaniana au wanapendana? Mi binafsi naona kama tamaa then baadae unapenda au waonaje?
Back
Top Bottom