hakuna tv program kwasasa u takuta haina masuala hayo vumilia tu au tafuta ka tv uwe una chek na mke chumbani, mi mwenye nlitoka sikumoja bila kuaga joti alipo anza mambo yake, aibu mbele ya bimkubwa
A- ka
b- tu
c- mi
d- te
e- ku
f- lu
g- ji
h- ri
i- ki
j- zu
k- me
l- ta
m- rin
n- to
o- mo
p- no
q- ke
r- shi
s- ari
t- chi
u- do
v- ru
w- mei
x- na
y- fu
z- zi
Raha ya mapenzi we ndo upendwe, asilimia kubwa ya watu wapo na wapenzi wasio wapenda kwa dhati, unaempenda kwa dhati na ye kuna mtu anampenda kwa dhati pole sana
We nawe una mbwembwe chuo mwaka mzima mnaonana hujatosheka? wengine wanaogopa kuwaleta kwao kwasababu si wpte wanamaisha mazuri.....................wanaogopa
nataka kujua ivi mfano umemuona mmeo au mkeo ametoka mwa m/ke au m/me gest na mtu unaemjua kabisa ana h.i.v ...............na ukagoma kulala nae kwa madai ya kwamba mpaka mpime..........mkipima mwenzio ana hiv we huna je mtaachana au mtaendelea kuwa mtu na mumewe? Utakubali upate hiv na ww kwa...
hatuja kataa ila katika wanaume 50 utapata 3 au 2 wanao lelewa na wamama ila wanawake 50 pengine wote au watano to utakuta wako poa wengine wote..................
ujasiri yamali gani wakuuza mwili? kuna biahsara kibao za kina dada tena wanafanya wanafunzi wengi wa vyuo.................wanauziana urembo, nguo.................mpaka uuze mwili au mwili bei yake kubwa halafu haina mtaji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.