Hivi karibuni zimetoka ajira mpya Serikalini kwa kada za Afya na Elimu. Kitu kilichonishangaza kuna vijana wengi walioomba wenye Shahada wameachwa, badala yake wamechukuliwa wenye vyeti (Astashahada)!
Tatizo ni kwamba, hawa wote wenye vyeti wanapopata ajira kinachofuatia wanaomba ruhusa ya...
Maambukizi Afrika yapo chini sana kulinganisha na Mabara mengine,japo tunapenda sana kujidharau,lakini ukweli ni kwamba huu ugonjwa umetukuta walau tuna elimu ya jinsi unavyoambukiza na jinsi ya kujikinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na hatua iliyochukuliwa na Bodi ya Uhasibu (NBAA) ya kuamuru vituo vyote vinavyowaandaa Watahiniwa(Tution Providers) kusitisha madarasa hayo, badala yake masomo hayo yaendeshwe kwa njia ya Mtandao(Online Studies)
Katika jitihada ya kukabiliana na Ugonjwa wa Covid-19,wakati huo huo...
Acha ubaguzi wewe, inaelekea hata katiba ya nchi huijui, Mzanzibari ana haki zote za kuongoza ndani ya Jamhuri ya Muungano. Ndio maana kuna wakati baadhi ya Wazanzibari wameshawahi kuwa wakuu wa mikoa .Hata kwenye Serikali hii , kuna Waziri Mzanzibari anayeongoza wizara ambayo sio ya Muungano...
Trump asilimia kubwa wanaompinga hawajui hata wanampingia nini? hasa wamarekani weusi waliokuwa wanamshabikia Obama(ambaye kwa kiasi kikubwa alikuwa anashabikia mambo ya kishezi kama ndoa za jinsia moja)ambapo mgombea wa chama chake (kinachosapoti same sex marriage)Hillary Clinton alishindwa na...
Leo nilikuwa nimekaa na watu fulani waliokuwa wanaongelea mambo ya michezo ambapo waliishia kubishana kuhusu neno mbao wakisema linaelezea uwingi wa ubao,sasa je ni kweli huwezi kusema kuna mbao moja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.