sikubaliani na wewe hata kidogo...kila mtu na akipendacho....mfano mimi napenda technology, kwa hiyo napenda kuwa na kitu kinacho nipa raha...mfano , kwa simu niliyonayo, naweza kuchat Whatsapp hata na mtu aliye marekani, au England, coz nina marafiki huko....naweza kuongea nao kwa kutumia Skype...
tatizo tulilonalo Tanzania, hatuna mamlaka ya kutetea watumiaji (end users)..ndiyo maana watu wanafanya mambo wanayoyataka......hii nchi inakela sana:tape2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.