Jamani hivi tuna wabunge wanaowakilisha wananchi au watu wakilisha wananchi
Mheshimiwa komba anasema anaunga hoja hapo hapo anasema jimboni kwake ni masikini sana hivi ni akili au ni matope unaunga hoja hapo hapo unajifunga mwenyewe
Kiukweli ccm hakuna watu kuna wachumia tumboni
Aibu...
Kweli kuna tofauti kati ya kuwaza na kufikiri "yaani rangi ya kijani ndo ikufanye uipende CCM'
Jipange upya utakuja kupenda mavi kwa sababu yanatoka tumboni kwako
Hatupendi rangi tunapenda maendeleo na uhuru haujaletwa na CCM uliza wazee wako watakuambia kama ni hivyo wazee wa EA...
faida zake ni zipi kutembea na kina wema,lulu......sijaona kilichopotea ni binadamu wa kawaida sana kama watu wengine ,inauma kusikia kifo cha mtu na mazingira yake sio kama hivyo kuigiza kwake ilikuwa ni kazi na ilikuwa inamwingizia pesa yeye kama yeye
Nashangaa ni aina gani ya viongozi tulio nao mtu aibe 1991 uje useme leo 2012 tena kwenye kampeni!!!! huyu mzee hana sera tena anawaza kwa kutumia ma******!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.