Attach audio kama inawezekana tusikilize kama ni ukweli au ndio nyie maccm mliokosa hoja kazi yenu kujadili ZZK huu mtandao umekuwa wa kiduanzi sana nowadays uongo mwingiiiiiiiiiiiii
So kama kazi yake ni kutia saini alivyotia saini hakuona kua hii kodi ni mateso kwa wananchi mpaka asubilie watu na taasisi mbali mbali na wanasiasa walalamike?Hio hoja yako ni ya ki UVCCM sababu mmezeeka kifikra kama chama chenu kilvyozeeka
Ninachotaka kusema CCM waache za kizamani kwa sasa wananchi wamesoma na wanaelewa so waache kutuzuga,bajeti wapitishe wao alafu sasa wao hao hao wanajifanya kuishauri serikali kwani serikali inaongozwa na chama gani?tuseme hilo hawakuligundua kuwa linawatesa wananchi kabla hawajaamua kuipitisha...
Kwanza nakipongeza chama cha Chadema na madiwani na wabunge wa chama hiki kwa kujali zaidi maslahi ya wananchi na haya matokeo ndio zawadi au bahashishi kutoka kwa wananchi waliowaamini na wanaozidi kuwaamini,msirudi nyuma na harakati zenu nasi tupo pamoja nanyi katika kutimiza harakati za...
Sio vijiji vyote CCM wanakubalika kuna vijiji vingine haviwataki kabisa chukulia kata ile ya Dongo besh chadema washinda kwa kishindo na kama wataendelea na kasi hii 2015 upepo ni kwao,mfano halisi kata nne za CCM zilizochukuliwa so jipangeni sana Magamba
Naomba unijibu hili swali kabla ya ushauri nitakao kupatia "Je wakati unachukua uamuzi wa kumuoa huyo mkeo ulitumia vugezo vipi?"na je haukumchunguza tabia zake kabla?kipi kilikuvutia kuwa na huyo mchonga maneno?
Pole sana mtoto Aneth kwa dhahma iliyo kukuta,binafsi ninaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya sheria vichukua hatua stahiki kwa huyu mama mkatili aliyemsababishia ukilema huyu binti,na taasisi za haki za binadamu nawaomba mfuatilia hana kwa hana mpaka mjue mwisho wa kesi hiiisije ikatokea...
Kwanza kabisa wewe haujui ki undani kwanini chadema wanaandaa maandamano haki hakuna katika Tanzania ya leo,uchaguzi wa meya haukua wa haki namaanisha wakazi wa arusha wamenyimwa haki yao ya msingi ya kuwa na meya kutoka kwenye chama wanachokipenda na kilichoshinda kwa kishindo,kaka inaelekea...
Hayo ni mawazo yako wewe mwenye mawazo finyu au wewe Ccm nini,Kwa taarifa yako wabunge ndio wataongezeka hayo ni mapungufu tu kwa kila mwanadamu je unafurahi CCM wanavyotudanganya kila mwaka?
Nahisi wewe utakuwa ni mzee tena wa zaidi yamiaka 80 namaanisha umerudi utotoni manake chini ya hapo...
Wewe ndio unapotosha jamii hayo maendeleo unayoyasema ni yapi yanayolingana na miaka hamsini kama si ufisadi na kujilimbikizia mali kwa walio wachache.Naomba uniambie ni wananchi wangapi tanganyika au asilimia ngapi wanaotumia umeme ambao ndio chachu ya maendeleo kwenye nchi yoyote hapo ndipo...
Kiukweli mimi sioni mantiki ya kusherekea hiyo miaka hamsini japo unaweza kusherekea birthday lakini si yatanganyika kwasababu wanazidi kunitia machungu kwani wanatumia pesa nyingi kwenye maadhimisho yasiyo na msingi je nami nauliza Hio siku serikali itatueleza nini wanachojivunia?Kama ni gari...
Kama hayo matokeo ni kweli basi ni furaha kubwa kwa Chadema ni mabadiliko makubwa na mafanikio makubwa kuonyesha upinzani wa kutosha na kubadilisha mawazo ya wana igunga kwa siku 21 mungu awabariki chadema waendelee na mbio hizo ili tuchukue nchi 2015 CCM kwishnei masikini weeeeeeeeeeee
Thats true hapo kuna ubabaishaji na kutaka kukichafua chama chetu CHADEMA kinachotusaidia kujua maovu ya serikeli inayoongozwa na chama kisichomakini na kisicho na huruma kwa wananchi wake ambacho wabunge wake wanahitaji kuongezewa posho wakati kima cha chini cha mwananchi mfanyakazi wa kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.