Huyu mama ni diwani wa CCM akiwapigia magoti mawaziri kuombea wananchi wake waruhusiwe kuendelea kulima katika bonde la Kilombero. Je imefikia hatua ya viongozi wetu kuabudiwa kama miungu? Na je dunia ilipoumbwa si kila mtu mahali alipolizaliwa ndio eneo lake la kujipatia riziki na kuishi? Cha...
Ndugu wana JF. Walichokifanya Wazungu ni kutusihi kutambua haki za mashoga ambao tunao. Hatuwezi kulikataa ombi lao kwa kuwa mashoga tunao katika jamii yetu na hakuna jutihada zozote za hata kuwakemea au kuwaelimisha kuacha uchafu wao. Tunawalea wenyewe na vile vile kuna wapuuzi wanaofanya nao...
Ndugu wana JF, hawa wanaoliongoza taifa hili wao walisoma katika mazingira yanayofanana na hay? Wananunuliana mashangingi na kupelekana nje kila siku huku watoto wetu wakiteseka hivi.
<o:p>
</o:p><o:p> </o:p><v:shapetype id=_x0000_t75 stroked="f" filled="f" path="m@4@5l@4@11@9@11@9@5xe"...
Mkuchika mnafiki tu, cheki anavyocheka kinafiki nafiki. Yeye na mwenzake Pinda walijifanya kuwatetea madiwani waasi, wakagaragazwa wote. Halima anawacheka akimwabia achana na mambo ya CDM wewe !! Sisi ni watu makini, Sio kina nape.
Tuesday, September 20, 2011MAHAKAMA YAFUTA KESI YA MADIWANI WA CHADEMA ARUSHA
MAHAKAMA ya hakimu mkazi Arusha imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na madiwani watano waliofukuzwa kwenye Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ambapo imedaiwa kuwa madiwani hao wanatakiwa kulipa garama...
MAHAKAMA ya hakimu mkazi Arusha imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na madiwani watano waliofukuzwa kwenye Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ambapo imedaiwa kuwa madiwani hao wanatakiwa kulipa garama mbalimbali ambazo zimetumika katika kesi hiyo.
Hapo awali Madiwani hao waliwasilisha...
Wana JF jana katiaka Mji wa Arusha kuna Gari lilikuwa linapita likitangaza kuwa ile kampuni iliyokuwa inakata nagai yaliyoegeshwa vibaya (kwa masharti na vigezo vyao) imeondolewa katika kazi hiyo toka tarehe 01/09/2011. Amri hiyo imetangazwa na Mkutugenzi wa Halmashauri ya Jiji la A-Town. Cha...
Arusha tatizo ni wakazi wanaoishi hapa. Kila mahali ni pachafu hata majumbani kwa watu ni wachafu. Niliwahi kumwona dada fulani kaotesha majani (Garden) pembezoni mwa barabara uongozi ukwamuamuru ayang`oe, kisa ni aneo la barabara.Pita Kimandolu Stendi pembeni kabisa ya barabara ya Arusha- Moshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.