Wapendwa watanzania wenzangu, huku tunakokwenda ni kubaya sana. Kinachotusikitisha ni kwamba askali waliapa kutulinda sisi watanzania pamoja na mali zetu ndiyo wanaotuua. Ebu nioorodhesha kidogo matukio kadhaa. Kumbuka Arusha, Morogoro na hili la Iringa. Hivi hatujui thamani ya uhai wa...
Wanajamii Forum kwanza nawapongeza kwa kujadili mambo ya ufisadi kwani hatuyahitaji katika sehemu yoyote. Ni kweli watu wawili wamesimamishwa kazi na si kufukuzwa kama ilivyoandikwa na wanajamii forum wenzangu. Pia si sahihi kuwa mishahara imechelewa kwa sababu ya auditing, lahasha, ni kwa...
Inaelekea hapa waandishi walichukia sana, kwani kila anayemuangalia Luhanjo amekasirika, wanakumbuka jinsi alivyoitosa serikali na bunge na kumpendelea Jairo, sasa wanauliza je baada ya kustaafu atajibu mashitaka kwa kulidanganya taifa?
Inaelekea hapa waandishi walichukia sana, kwani kila anayemuangalia Luhanjo amekasirika, wanakumbuka jinsi alivyoitosa serikali na bungu na kumpendelea Jairo, sasa wanauliza je baada ya kustaafu atajibu mashitaka kwa kulidanganya taifa?
Mbona sioni kama kuna tatizo katika ukaaji wake na ata uvaaji wake!!!!!! Ni hisia mbaya tu!!!!!!!!!!!!! Utakamatwa siku moja kupiga picha watu bila idhini yao,ni kosa kisheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.