Habar wana jamvi
Naomba msaada kwa yeyote anae fahamu free thin client software, nimejaribu kuinstall open thin client but napata error so kama kuna mtu anajua nyingine plz help!
Natanguliza shukran zangu kwenu wadau
Habari zenu wadau Naomba kujuzwa juu ya hili. Mimi niliajiriwa sehemu fulani na nimefanya kazi kwa takriban mwaka mmoja. Lakin sikuwa nimepewa contract zaidi ya offer letter na confirmation letter(nilipewa confirmation baada ya kumaliza probation) ila sikupewa contract wakawa wananipiga...
Habari yako Madewa na wana Jf
Mimi sikufanya hiyo interview ila kuna msela wangu ameajiriwa juzijuzi hapo CRDB km IT officer na amefanya interview mwezi wa sept ila sijui tarehe ngapi.
Habar wana JF hususan wa jukwaa hili la lugha!
Nimekuwa nikitafuta kwa muda mrefu mwalimu (kituo kizuri) mzuri wa lugha ya kiingereza na nilipata kumsikia jamaa anayeitwa RAS SIMBA,naomba kuuliza yafuatayyo:
1: Ofisi zake zilipo
2: Kwa wanaomfahamu naomba wanipatie sifa zake ama uwezo wake ktk...
Hallow iMind
Kwanza kabisa nashkuru kwa mchango wako nasi kwamba sikugoogle kama unavyo dhani niligoogle na nimejifunza mambo mengi from different sources even the link given by vitendo hapo juu mi nilishapita huko kitambo ila lengo la mimi kuuliza ni kama ifuatavyo:
1: Ni kutoa fursa kwa...
Greetings!
Kindly advice step by step how can I create and configure an e-mail server in a linux server which will be able to send and receive (SMTP) and pop mail(pop3) and also be able to manage users' e-mail accounts(such as create, delete)
Kind regards
Mtoa mada alieleweka kwa 100% ila kwa kuwa wengi wenu humu JF huwa mnakurupuka ku reply kabla ya kufanya uchambuzi yakinifu na kutokuwa serious....kama vp mbaki kwenye jukwaa la jokes tu...
Acha kuendekeza mambo ya udini wewe!....tena hii inaonesha jinsi gani wewe ulivyo mdini ndo maana baada ya kutafakari na kutoa points za msingi we unaleta udini......ACHA HIZO ***** WEWE.
hey guys!...
Nilipata tatizo la kusend email kwa kutumia outlook ilikuwa inaleta error 800ccc80, nilifanikiwa kuondoa tatizo baada ya kugoogle
na kupata cha kufanya kuondoa hilo tatizo but I want to know why I have to log on incoming mail server before sending...?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.