hapo kwenye red uko sawa FUSO. wa kumkomboa mtz ni mtz mwenyewe, kosa letu tumekalia kulalamika tu hatuchukui hatua hivyo tutaendelea kutaabika siku zote!!
uko sahihi THE BOSS!!!jamaa huwa hawana kazi za kufanya zaidi ya kudhulumu wasanii na kuongea ishu za kipumbavu....kuna ishu nyingi nzito na zenye tija kwa taifa zinazohitaji utafiti!!
matukio kama haya hayatakoma kutokea mpaka pale umma wa tz utakapoona umuhimu wa kuwawajibisha wazembe wanaosababisha haya maajali....mfumo wa uendeshaji nchi sio!!!
unampa adhabu ya kisaikolojia!!unakaa kimya kama hakuna lolote alilolikosea, unaendelea na maisha kama kawa bali hushiriki nae tendo la ndoa...atakimbia mwenyewe tu, maana atakuwa anajiuliza jamaa ananitafutia adhabu gani mbona yupo kimya??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.