Sijasoma comments za watu wengine so probably wameshakwambia haya ninayo kwenda kusema.
badiebey pole sana nayajua maumivu ya kuachwa, hivyo naelewa hali uliyokua nayo kwa sasa,pole sana. Ila hii sio sababu ya wewe kuendelea kujisikitikia na kujihurumia bali inuka kung'uta vumbi maisha...
..now I understand... thou I beg to differ kuna ule msemounasema "kama ni muhimu utatafuta njia (moja wapo ikiwa kumueleza mwenzawako na mkubaliane mawasiliano yenu yaende vipi) lakini kama hakuna umuhimu(hapa naongelea wa relationship) basi utatafuta visababu tu hivyo nakubalianana gorgeousmimi...
najaribu kuunganisha dots na uzi wako wa kwanza kabisa kuhusu uume wako, mkeo ni mfanya kazi wa bank au aliacha? na inaonekana kwao mambo safi dnio maana mamake alikutafutia kazi Tabora...ain't judging lakini ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
I beg to differ with you, usimpotoshe mwenzio. Endapo weweunamvumilia easy-taker wako ni vile tu
Hukupata bahati aliyoipata Bobby- kuona rangi mapemaaaa.Hivyo wote wana kazi? Kesho mume kalost…si atakula jeuri yake mpakaashangaeeee..
Ushauri wangu kwamhusika bora ukosee kujenga...
Don't blame her mimi mwenyewe nina mwaka wa 5 sasa tumeseparate na mume, niko kwenye hali hiyo hiyo ya sintofahamu na tuko nae mji mmoja, hajaoa bado...pengine na mimi nianzishe uzi nipate ushauri....
Kuna wakati fulani wa maisha yangu nilitami pia iwe vile (hapo kwenye red), lakini kwa sasa Glory to God namtakia maisha marefu na yenye baraka tele. Nimeendelea na maisha yangu na nina furaha na amani.
Back to the topic of course Mungu yupo juu ya yote ila yale ya kibinadamu:
1. kazi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.