Kiukweli hawa Vietel(Halotel) hawana ethics kabisa hakuna mfanowe. Niliwahi kufanya kazi pale kama consultant lakini nilipomaliza kazi nikaapa sitorudia milele. Kwanza wanapokulipa lazima uwatoe kuanzia mabosi(director of finance) hadi wafanyakazi wa chini. Unaombwa rushwa waziwazi bila aibu...
huwa mimi watu wa FLP wakinisomesha nawaambia hivi "I AM SATISFIED WITH WHAT I AM GETTING WHERE I WORK, JUST GO ON WITH WHAT YOU ARE DOING AND I DO THE SAME". Tatizo ni pale kila mtu atakapotaka kuwa wakala wa bdhaa za wamarekani eti kwasabu ya commission
Ukisoma vizuri rasimu utagundua kuwa Tume imejaribu kutatua matatizo au kero za Muungano wa sasa kwa kiasi kikubwa. Hatahivyo, ni lazima nchi hizi mbili Tanganyika na Znz zikubali kuachiamamlaka Fulani kwa Serikali ya JMT. There must be a compromise for the federation to be in place.
Kwa mbali...
Suala la elimu ya diploma au form six kama sharti la mbunge na form IV kwa madiwani hata mie naliafiki. Ifike mahali elimu iwe kigezo muhimu kwa viongozi hata kama uongozi ni talent
duh! nchi hii hata ufanyeje bado kuna watu watakubeza tu. Yaani Jembe kama Mwakyembe mmeanza kumnanga? What do Tanzanians want from their leader? Jamani Mnyonge mnyoneni lakini Haki yake mpeni! Mwakyembe anajitahidi kukurupusha mafisadi waliofyonza miudombinuya nchi hii
Mtamanyali,
That's subject to discussion kwenye bunge la katiba. Rasimu imetoa provision ya vingozi waliopo kuendelea na nyadhifa zao katika kipindi cha mpito hadi 2018
ohoooo, naona kwa mbali JK akiongoza Tz hadi 2018 sababu katiba mpya inatoa provision for kipindi cha mpito hadi muda huo ili katiba ya Tanganyika na ya Zanzibar ziwe in place.This might be is strategy kwa kuanzisha mchakato wa katiba katika awamu ya pili ya uongozi! the guy is smart in his own...
Hapa Bongo ukienda mahakamani kudai haki unaonekana msaliti wa chama au unakiharibia cama, sasa wanataka mtu aende wapi akionewa? aite waandishi wa habari kama Mengi alivyokuwa akifaya dhidi ya Rostam. Tuache chombo cha kutoa haki kifanye kazi!!
It is very disheartening to see how opposition parties handle disagreements in their own parties. my fellow Tanzanian, when will yo learn to handle crises with little or no damage to your own parties?
Matola, kama Nyerere angependekeza serikali moja unadhani Karume angekubali? Mtu mwenyewe alishawishiwa saaaana na bado akasema Muungano ni kama koti likikubana unalivua. Unahitaji mtu mmajumuni wa Afrika kwelikweli kama Nkrumah au Ghadaffi kukubali kuunganisha nchi mbili kuwa moja na serikali...
HK, Tanzanians are too angry at the moment to be able to objectively discuss any issue. The incident of bombing in Arusha and the shedding of blood of innocent children is still fresh in our mind. So, bear with anyone who may have or will lash at you!
Mbowe anasema vdeo itapelekwa kwa wajumbe wa judicial commission of Inquiry! Hivi kwa akili ya kawaida Rais ataunda tume huru kweli? Je, kama ni kweli police walipiga watu risasi kumlinda mlipuaji nani atabeba aibu hiyo? I don't see any commission being formed, not now not ever!!
Wakuu, biashara ni ngumu hapa Bongo kama ukikopa benki kichwakichwa. Kuna vijimicrofinance viiiingi vimeanzishwa na former loan sharks navyo ni balaa tupu. Mtu anakuambia bila aibu njoo nikupe mkopo lakini utanirudishia 10% ya ulichokopa kila mwezi. Eti nae anataka umpe collaterals kama hati ya...
Kuhusu kunuka kwa wanawake wanene hilo sio kweli. Kunuka ni uchafu na ni tabia ya mtu awe mnene au mwembamba. Ila hilo la kutoolewa ni kweli wanawake wanene kupita kawaida hawaolewi kama portables. Mwanamke alienenepa sana inaonyesha ni mzembe. Hajali mwili wake au wazazi wake hawakumjali...
Inashangaza kwamba utendaji kazi wa jeshi letu la polisi ni kama Zima moto. Tukio likitokea basi utasikia tumewakamata watu kadhaa kwa mahojiano. Mambo yakishapoa wanaachiwa huru na mambo yanakuwa kimyaaa!! Jeshi linatakiwa lifanye kazi kimkakati si kukamatakamata watu kwa mahojiano na hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.