Search results

  1. J

    Sensa dodoma mjini.

    ebana walaka gani tena huo mzazi?
  2. J

    Sensa dodoma mjini.

    yaah! mi nlikuwa najua semina zinaanza tarehe 6 ambayo ni kesho sijui labda kuna mabadiliko ya ratiba
  3. J

    Sensa dodoma mjini.

    dah! Dom kunakata stim sijui niaje asee wakati semina zinaanza kesho
  4. J

    Sensa dodoma mjini.

    wakuu naomba kuuliza hivi Dodoma hakuna kuhesabiwa? maana majina hadi leo bado hayajabandikwa huku.
  5. J

    ZINGATIA-Mnaoweka matangazo ya kazi humu

    ahaaa... kaka hapo unakosea sasa kama mtu akikaa kimya utajua kama sehemu flani kuna job? we jipind tu mara moja moja si vibaya kuingia nt asee...
  6. J

    Teaching job

    tafuta mzazi jira za ualimu ziko kibao hapo Dom kuna shule kibao za kata afu zin uhitaji mkubwa sana wa walimu. pia skul kama Hijra na Jamhuri nenda pale ukale shavu
Back
Top Bottom