Ujinga ni kitu kibaya sana!eti unasema alikuwa anatakiwa kustaafu kwa mujibu wa sheria kwahiyo ameihonga serikali.au.kwaataarifa yk nenda ukaguzi kanda ya.mashariki.uilze ilipokaguliwa mwezi wa keanza ilipata alama ngapi ucpoifuta post yk
Ukifka rombo ndio utashangaa zaidi,wkt wanajenga shule za kata zinapasukapasuka kabla ya mwaka,rombo shule zakata zimejengwa magorofa,by the way in tz is only sehemu kuna vijiji vyenye bank,na university!
Kabla ya yote,condrit pipe,then hch unachoita cinling watwat,kimtaa inaitwa blandaring,ndio inafuata thn plaster,kuna mtu ameshakushaur vzr hp juu,bt pipe is tha first!
Tangia niwe member wa jf,leo naweza kusema nimepata watu walioweka hisia pembeni na kuuona ukwel,nilikuwa nasoma juzi imam wa msikiti wa kichangani kwajina walid,alivyotaka kupigwa na waumini wenzake pale alipokuwa anajaribu kuwaelewesha kuwa shekhe ponda kukamatwa kwake na makosa aliyonayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.