Wewe nawe kweli lugha inakupa shida. Sasa tangazo hilo linatatizo gani. "The University of Dodoma would like to inform all applicants who applied for different positions that there will be a written examination which will be administered in groups at the College Social science and of Humanities...
Mbona nawashangaza sana nyie. Kwaani huyu ndugu kakosea nini? Yeye kasema wazi kabisa tena mchana kweupee kuwa "KWA HALI ILIVYO SASA IGUNGA NO WAY CHADEMA ITASHINDA". Sasa tatizo la kumzogoa ninini?
Yaani wewe unaakili sana. CHADEMA hapo Igunga kweli lazima ishinde. Tatito ndugu yangu ni hao CCM wao hawataki kukubali matokeo wakati hali iko wazi.
WEWE
Wewe mama weweee! Unamacho lakini ni kipofu, Unamasikio lakini ni kiziwi. Kumbuka msemo huu "auaye kwa upanga sharti auawe kwa upanga". WikiLeaks endeleeni kufunua maovuu yote.
Retreat,
Hii inaonyesha jinsii gani mkuu wa majeshi alivyo kuwa makini na ulinzi wa Taifa hili. Kikwete hana upeo wowote wa kuchambua mambo, anajipeleka tu kwa kutaka kusifiwa bila kujali kama anachokifanya kinaleta athari kwa taifa au la. No deep thinking at all.
Kikwete hafai hata kwa kuchomelea. Anapaswa kujipima kisha kuchua uamuzi kama alio uchukua EL. ingekuwa ni busara sana kuliko kuuza nchi katika nyanja zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.