KIGALI GENOCIDE MEMORIAL
Part 2.
Inaendelea ilipoishia Jana.
ATHARI ZA MAUAJI
Ndani ya makumbusho inaelezwa kwamba 75% ya watoto nchini kipindi hiko walipatwa na Trauma (ugonjwa wa kisaikolojia) either kwa wao vijana wadogo kushiriki mauaji au kushuhudia mauaji ya kikatili.
Wataalam wanasema...
Yote yalikuwa yakichochewa na chombo cha habari cha private kilichokuwa kikifadhiliwa na serikali kikijulikana kama Radio Television Libre Des Mille Collines ....maana hao Radio Mille Collines walikuwa wakieneza chuki za kikabila wazi wazi ila hawakuwahi kufungiwa wala kuonywa na wafanyakazi...
Part one.
1.Rwanda ni nchi nzuri yenye milima mingi wenyewe wanaita the land of a thousands hills.
Ni nchi yenye makabila mawili Hutu na Tutsi.
Hapo zamani wakoloni walipokua wakiitawala ndio walipo asisi utengano na chuki baina ya makabila haya.
Wakoloni wali favour Tutsi kuwapatia elimu ajira...
Kama bdo mnawacliana ni vigumu sana kuachna naye, siri kubwa ni kikata mawasiliano naye, lakin kwa binadam haiwezekan ila kwa Mungu kila kitu kinawezkana.. mshirikishe Mungu kama unaiman lakin kama huna iman watafute wataalam wa Counsellor.. fanya hivyo.
Kuitwa AFRICAN TIGER cyo tija kama wananchi hawapati huduma za msingi kama maji safi na salama, dawa za kutosha, na maisha ya uchumi wa kati kwa watanzania..
Jenga kwa wazaz kama wana JF wanavyosema lakin ushaur wangu ni vema ukawashirikisha ndugu zako kama unataka uwajengee nyumba wazaz ili yeyote atakayeguswa na hilo wazo ajitolee kwa hiari yke lakini wew ufanye hata kama hawatatoa kitu.. lakin mbaraka utakuja kama hutakuwa na majivuno moyon mwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.