Jamani from the Currently updates nilizozipata from chuo ni kuwa utaratibu wa ugawaji rum za ndani ya chuo hautakuwa kama miaka ya nyuma..!!1st masters students hawatapewa rum kabisa,na all students who rnt admited by TCU including those who will be taking Certificate,Diploma and Mature entry...
wote wanaenda field kwa mwaka wa kwanza tofauti ni kuwa ITB wanasoma IT pamoja na busnec ikiwa na accnt kwa sana n finance,ICTM nt ITM!wanasoma IT pamoja na management kwa ujumla. Whle ITS Wanasoma pure IT bila kuchanganya na vi2 vingine vyovyote hpe it help!
vyumba ujanja kuwah dogo ukitaka kupata in campus cku ya kwanza ya registration uwe chuo ukiwa umelipa kila ki2 huna deni hata senti otherwz outside rmz r much xpensiv na most low quality those wit standard vko mbal frm chuo?
kama unataka kujua amount inayotolewa na board ya mikopo ni hyo raia aliyemention hapo juu bt generally cost za stationary zinavary kwa kila m2 kutegemeana na mipango binafsi kwa mfano kuna m2 toka anaanza chuo mpaka anamaliza cost ya stationary iczd hata laki 1.kwa hyo kila ki2 ni mipango 2!
there was a number of student especially from last year who were told to apply again for loan this year bt am wondering if there is any1 who acqure loan this year...!!if there is any pliiz let us know?
Wana JF Education forum nilikuwa naomba anayejua sheria na taratibu za kufuata ili kuruhusiwa kuandika vitabu vvya masomo mbalimbali kwa level yoyote ya elimu tanzania isipokuwa UNIVERSITY LEVEL BOOKS.....!!Msaada pliiz kwa mwenye idea..!!
Kamanda wangu mi nimeheshimu mawazo yako...!ktka vingi nilivyowah kuvikuta kwenye hii forum hili nimelipenda mi co mwana Udsm bt nakussupport 110%.acha na hao wanaojifanya hawajui kugoma washinde njaa 2one mwisho wake!
Kamanda kuanzia leo i will be your favourite member b'coz am new in ITs field n now am studin BSC ICTM at Mzumbe n i wish 2know those stuff keep it up bradah............?????
kuwa wewe we unadhani huyo kikwete ni kama vocha za tygo ukimtaka mda wowote unampata aibu wao ndio wametutia aibu kama huna cha kuchangia kaa kimya..!
Wakubwa mi nilikuwa naomba kuuliza kwa mfano kuna jamaa alikosea akajaza kuwa wazaz wote wapo na pia alikosea kujaza kazi ya mzazi aliyepo kama mnavyojua zile form vitu vingi vilikuwa ukijaza huwez kubadilisha!naomben msaada kujua kama itawezekana kuwa considered kwenye hayo marekebisho!!
Tuombe mungu wawe na mawazo kama haya japokuwa kwa taarifa waliyoitoa ni kuwa fedha hizo ni kwel zitaelekezwa ktk secta ya elimu lkn co upande wa mikopo ni ujenzi wa nyumba za walimu na misaada kwa shule hasa sekondary....!mungu ibariki tanzania na vongoz wake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.