Kwa anayefahamu, hasa wanaofanya kazi kwenye sekta ya mawasiliano naomba kujuzwa kuhusu hili:
Hizi namba special mfano 15542, 15656 n.k zinasajiliwa kwa watu binafsi pia na matumizi yake ni sms tu au hata kupiga? Iwapo nahitaji nitaipata kwa kampuni gani ya simu au kila kampuni lina namba zake...
Pitia thread ya kikiao cha triple K (Kagame,Kaguta,Kenyatta) ujue nini viongozi wa nchi yako wanatakiwa kufanya sio kutwa kutuletea ujinga hapa jamvini p&~*$§¥fu we!
Nimesikitishwa sana na huu uzi pamoja na baadhi ya comments za wadau. Kuna watu humu wanajifanya wao ni watakatifu kiasi cha kunyooshea vidole wengine na pia kumlaumu marehemu. Ngwair ni mmoja wa mamilioni ya watz wahanga wa hayo madawa. Kwanini tulaumu wanywaji wa vilevi huku tukisifia viwanda...
Kutawaliwa nchi hii kuliisha mwaka 1919 baada ya vita kuu ya dunia. Tangu hapo nchi hii haijawahi kutawaliwa. Nchi hii inahitaji KUONGOZWA si KUTAWALIWA. Hata Dr. Slaa alitamka hivyo akijua wazi kuwa watanzania wanahitaji Uongozi na si Utawala. Kinachotokea sasa nchini ni matokeo ya sera mbovu...
Nilipooa niliambiwa tumeungana na kuwa mwili mmoja, sasa huo undugu au ujirani unatoka wapi? Mke ni zaidi ya ndugu mkuu, watoto pia si ndugu zako ni tunda la huo umoja, uzao wako/wanao. Soma vitabu vitakatifu.
Magoli 7 yanapatikanaje kwa kutoshambulia? Ina maana barca walijifunga sio? Wenzako wamekaa kimya wanatafakari we unakurupuka na defensive analysis. Barca is no more!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.