kweli naunga mkono hoja watumie landrover 109 new model a.k.a mandolin coz zinamudu njia zote mijini vijijini mbugani na zina spidi kubwa kama v8 Mh Godbles Lema anayo yake pale Arusha anaweza kutujuza how much does t cost
mkuu hakuna lisilowezekana kwa serikali yetu unaweza kuwa hata na kibajaji kimoja ukapata 20,000,000 kwa mwezi, chunguzeni hiyo kampuni ya logistic inabeba mizigo ya nani huenda ni ya serikali na wamejipangia wao walilipe lori lao shilingi ngapi
mi namp big up by the way ana ushahidi kuwa kuna mwanya wa rushwa waziri wa kilimo kapokea au huyu waziri wa kilimo ana kampuni yake ya ulanguzi inanunua kahawakwa sh 1,000 na kuipeleka moshi kuiuza kwa sh 7000 hayo ndio madai yake na pili anamlaumu rais kikwete kwamba tangu mwaka 2010 mpaka leo...
kumbe dada wa watu kaolewa halafu nyie mnamsingizia anakaa kwa dr.... atakuwa amepanga hapo na mzungu wake au watoto wa dr wanapata faraja wakimuona huyo mdhungu!.!.
hata mimi nilikuwepo na niklishuhudia wasanii wakitaka funguo za magari ya kanumba sijui ili nini, labda walitaka wakapunguze petroli kwenye hizo gari na pia walitaka funguo za ofisini kwake, huwezijua labda wangekwenda kuipa copy za filamu zake! nashukuru yule ndugu kwa msimamo wake aliwanyima...
Umesahau petrol, diesel,,,, hata wale ewura siku cku hizi wanakaa baada ya wiki mbili wanapandisha tu hakuna kushusha imagine sasa hivi petrol ni 2300 kutoka ile waliyogoma wakati ule ya 1800 walipokuwa wanatufanyia kakomedy kutudanganya toto nadhani hawa ewura wanaibeba zaidi hii mikampuni ya...
kuna gazeti moja jumanne ya wika hii lilitoa front page kuwa akaunti zake marekani zinafanya kazi sasa cjui nani anae zirun! kweli tanzania ya nkwere hamnazo, yawezekana analinda maslah ya bush na dhahabu zetu, nkwere na ufisadi wake, mkapa,,,,,,,, ndio mana nae analindwa lol
hata mimi nimeumbuka mkuu nilipingana na mtu juzi nikamwambia kwamba mkuu wa mbayuwayu lazima aaibishwe akifika kule majuu lakini cha kushangaza alilakiwa na mpaka watoto wadogo ambao bibi na babu zao tupo hapa bongo tukiteseka na maisha mabovu, binafsi kimeniuma sana
Hao vijana, wazee, akinamama wanaopewa khanga, wanaume wanaopewa kilo1 ya nyama mi nawaona ni legelege kama serikali na viongozi wa chama tawala, vitu hivyo vinakufanya unapoteaza kura yako na kupata shida, kuishi kwenye giza miaka mitano! AIBU HII
WATANZANIA AMKENI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.