kwani kuwa Mwalimu wa Primary tatizo nini? acha kujishaua hapo umefikaje mkuu bila mwalimu wa Primary? Heshim kazi za watu ka huna mchango just pita sio lazima utoe maoni ..... Poleni Iringa vijijni fuateni taratibu za kumrekebisha please!
Ah ah ah! Sanam eti kwa lipi la heshima? kuna mtu kuwa na heshima ilo tukuka na star tuuu kwa jamii,,,, Koma kumlinganisha na baba wa taifa! Kanumba was just a star wa kaida na kila mtaa utakuta CD zake kwanini watu wasimjue?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.