Siku hizi kila nikimsikiliza TL huwa namkumbuka saaana marehemu Banza Stone, kwa ule wimbo wake "ELIMU YA MJINGA" au kwa jina jingine "MTAJI WA MASIKINI". Kuna verse aliimba "mjinga hupenda majivuno,
hupendo majisifuu,
asichokijua hujifanya anajua,
mazuri ya kwakee mabaya ya wenzake......" TL...
Mtoa mada kauliza na kuomba tujadiri neno "uzalendo" ili tueleweshane mzalendo anatakiwa kuwa na sifa zipi. Hakusema tuijadiri nani ni mzalendo na nani sio mzalendo, ila kwa sababu ya ujinga wa uvyama wa watu fulani, tayari wameshakimbilia kutoa mifano kulenga watu fulani.
Nimejitahidi kuisoma yote, tunashukuru kwa kutuletea historia ambayo wengine hatukuijua. Na hatukuwa tumezaliwa.
Ila hakuna mahali ambapo unaweza kulinganisha kesi hiyo ya JKN na za TL. JKN hakuwahi kubadilika katika misimamo yake, hakuyumbayumba wala kunyenyekea viongozi waliokuwa wala...
Kweli aisee, ila tunapoandika humu na tuwe wa kwanza kutangulia mbele kwenye maandamano. Tusiwajaze upepo wengine harafu sie tukae tunaangalia kwenye TV tu
Mie nimemuona akiwa anainua uko na kuinamisha kana kwamba kuna kitu mkononi ameshika, vile vile nimemuona akiwa anashangaa na kugeuka kuangalia watu wanaoimba. Sijaona kabisa kafungua mdomo na kuimba, kwa ufupi ni kuwa hakuimba. Bora kutafuta kazi za kufanya kuliko kufanya kazi za kudanganya...
Zimbabwe, daaaaaah. Najilaumu kwa nini sikulibeba lile gazeti aisee, lilionyesha Zimbabwe ilipokea Watalii laki 8+ kwa mwaka 2014. Wengi wao wanakuja kutokea Afrika Kusini na kurudi siku hiyo hiyo, ni 35% tu wanaolala kwenye hotel za pale Victoria Falls na Whange National Park.
MM, kwanza heshima kwako. Mie binafsi bado nashindwa kuamini kama sie Watz tuna akili finyu kiasi cha kujidhalilisha na kumuabudu mtu mchafu kama E.N.L. Mtu ambaye wapinzani woote wa nchi hii walimtumia kama turufu ya kuinyanyapaa CCM kupitia dhambi ya ufisadi eti ghafla akageuka kuwa malaika...
Mkuu, pole na majukumu ya kazi za kila siku. kwa kukujibu tu swali lako, Hapa Mwanza kila kitu kinajulikana. Jambazi Mbunge aliyetajwa hapo ni Lameck Airo, mbunge wa Rolya na diwani hapo ni Henry Matata, diwani wa Kitangiri na meya wa Ilemela. vilevile wana washirika wao wanaojulikana akina Jack...
Namshangaa sana Kigwangala, baada ya kupata ubunge akaanza kuuandama mgodi wa RUSOLUTE. Amesahau kuwa ndo uliomtoa, Kigwangala alifanya kazi pale akiwa kitengo cha BLASTING. Akawa anajiendeleza kusoma kwa mshahara aliokuwa akipata pale. Sasa baada ya kuwa mbunge akapigania ili mgodi ufungwe ili...
naomba niandike kwa herufi kubwa ili nisomeke vizuri;
NDUGU WA JF, KWA JINSI NAVYOLIELEWA JUKWAA HILI NI KWA AJIRI YA WATU MAKINI NA WENYE MITAZAMO CHANYA. PIA NI KWA WATU HODARI WA KUFIKIRIA NA KUJIBU HOJA ZENYE UJUMBE UNAWEZA KUONGEZA HATA UFAHAMU KWA WATU WENGINE. LAKINI SIKUJUA KUWA KUNA...
Mkuu mbona huyu ni askari wa Malawi? kumbuka ma-MP wa Tz hawavai sare hizi. lakini Malawi hata ukipita kwenye Geti za barabarani utakuta maaskari wamevaa namna hii. hiyo MP ni Malawi Police, nina uhakika 100%. Au wewe ni Mmalawi unatutisha nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.